Nakumbuka miaka mitatu nyuma nilikua ATM flan ya NMB mtwara, nilipojarib kutoa pesa hazikutoka maana zilikua zimeisha. Nikaingia ndan nikawaambia.. then nikarud palepale kwenye ATM. akatoka mfanyakazi wa benki na askari wawili wakiwa na bunduki zao, bila kuniambia kitu wakapita nyuma yangu...
Baada ya x-ray, unapoambiwa njoo uchukue majibu baada ya saa 24 ni kwamba technician hajui kutafsiri ile image anamsubiri mtaalam au?. Maana inawezekana vip x-ray itumie masaa 24 wakati readout inatoa majibu muda huohuo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.