Search results

  1. M

    Amri ya Kima cha Chini cha Mshahara: Mtumishi wa ndani Tsh 60,000 kama anakaa kwa mwajiri na Tsh 120,000 kama anaishi kwake

    Taarifa inasema hivyo ndiyo viwango vipya vya mishahara kwa watumishi wa ndani yaani dada. Kama anakaa nyumbani kwa bosi atalipwa Tsh 60,000 kwa mwezi na wale wanaoishi kwao watalipwa Tsh 120,000 kwa mwezi.
  2. M

    Prof. Assad(CAG): Nitaitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge

    Nimeelezwa kuwa CAG ameitwa na BUNGE kupitia kamati yake ya maadili na siyo Spika. CAG ameitwa kwa summons ili awexe ku appear before kamati ya maadili na siyo Spika. BUNGE linaweza kumtuma au kumuagiza Spika amuite mti yoyote Yule achilia mbali CAG. Lowassa aliwahi kulilalamikia BUNGE kwa...
  3. M

    Kwanini shughuli za uzinduzi wa kitaifa maaskofu wanakuwa wengi kuliko masheikh?

    Mbwiga waislamu gani ambao hawajagawanyika?
  4. M

    Kwanini shughuli za uzinduzi wa kitaifa maaskofu wanakuwa wengi kuliko masheikh?

    Sijaona nini kinazingatiwa wakati wa kutuma mialiko maana Mara zote waislamu huwakilishwa na shehe wa mkoa wa DSM. Wakristo wao huwakilishwa na kilundo cha maaskofu sijaelewa ni kwanini? Au waislamu ni wachache kimadhehebu!
  5. M

    Sheikh wa Dar unapotoka kuingilia yasiyokuhusu! Sakata la CAG hukutakiwa kutia neno...

    Hahahaaaaa.....waislamu wasio dhehebu la Bakwata wote wanampigania alhaj Assad
  6. M

    Clouds 360: Hata kama CAG siyo muhimili kazi zake ni zaidi ya " huo" muhimili asikejeliwe!

    Kwani kaajiriwa na Spika?.....mine wa Naibu Spika aliwahi kuletwa kamatini na pingu kwa amri ya Zitto so hakuna jipya hapo!
  7. M

    Clouds 360: Hata kama CAG siyo muhimili kazi zake ni zaidi ya " huo" muhimili asikejeliwe!

    Hahahaaaaa....NBAA na CPA yenu ni cha mtoto kwa mtaaluma Assad. Hivi CPA Bado zipo bongo!
  8. M

    Clouds 360: Hata kama CAG siyo muhimili kazi zake ni zaidi ya " huo" muhimili asikejeliwe!

    Watangazaji wa Clouds 360 wamewataka viongozi kutumia lugha ya staha wafanyapo mawasiliano na umma. Wamempongeza Prof Assad kwa uungwana alionao Source Clouds tv
Back
Top Bottom