Mjadala huu ulikuja kuzaa kitabu cha Ujasusi kilichokuja kujibu upotoshaji wa Historia ya Tanganyika na Historia ya Zanzibar, Kitabu hiki kimenipa tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika 2023 na sasa nimeingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya mwandishi bora barani Afrika...
Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!
Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula alilishwa/alinyweshwa sumu, Na leo Kwamba Makonda anataka kuuawa kwa sumu? Hii ni taarifa rasmi kwamba CCM ni...
Nina laani kwa nguvu zote kitendo cha vurugu za mgambo na watu wa jamii ya kimasai kwakupigana hadharani, Nina laani Masai kushambulia Mgambo, Nina laani kwa nguvu kubwa Mgambo wa Zanzibar kushanbulia watu wa jamii ya kimasai! Jambo hili halikubaliki kwa mjibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa...
Nikiri wazi kutoka sakafu ya moyo wangu, nimefurahi sana kilio changu na kampeni yangu ya miaka mingi kuona leo imejibiwa na Mkuu wa Majeshi nchini. Nilionya kuwa nchi yetu tumeingiliwa, tunahujumiwa tena vya kutosha.
Nakumbuka 22 December 2019 niliandika makala hii hapa chini nikitilia mashaka...
Majibu yote nilishaeleza kwa undani sana katika kitabu hiki, Okello alipinduliwa akatekwa na kwenda kutupwa Uganda na Julius Kambarage Nyerere kisha Urais wa Zanzibar akampatia Karume, shughuli zote zikakamilka pale Ukonga terminal 1 jiji Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.