Wasiojulikana wameanza kuwafatilia had ccm? Hii ndo mbwa kala mbwa inaitwa.
Anyway kongole sana mheshimiwa kwahuo ufatiliaji, nimoja ya wizara nzito kwelikweli. Ila usimchukie mtu kwa kigezo alikua rafiki na waliopita.
Mwisho, siasa ni ovyo sana, yani kigwangala anamfukuza professa, alafu...
Nimemsikia kaweka kombe la mpira, kaweka mashindano ya sanaa, kajenga vyoo.......
Anafanya jambo jema sana la kimaendeleo. Ila yeye kama naibu spika, anaunganisha wananchi nchi nzima, hatumsikii akifanya hayo singida, au bukoba au hata tunduma basi. Kila siku mbeya mjini, kwani kawa naibu spika...
Cha kujifunza kutoka Kenya ni katiba mpya inayoonesha mipaka ya madaraka kwa kila mhimili. Zaidi yahapo kidumu kitaendelea tu kwa hisani ya piere na yoweri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.