Search results

  1. Elitwege

    Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

    Waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba ametangaza kwenye gazeti la serikali kuanza kwa kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia bank pale unapotoa au kuweka fedha utakatwa kodi ya viwango tofauti kama inavyoonekana kwenye jedwari hili hapa chini. The Government of Tanzania has imposed levy on all...
  2. Elitwege

    Tunahitaji Katiba Mpya au upinzani mpya?

    Hii tabia ya wana siasa kusema uongo mfululizo ikiachwa iote mizizi bila kukemewa inaweza kuja kuleta maafa makubwa sana kwa taifa kwa kupandikiza chuki ndani ya jamii na kujikuta watanzania wazalendo wanawekwa pembeni na mafisadi ndiyo yanashika usukani wa kuongoza nchi yetu. Kwa kuzingatia...
  3. Elitwege

    Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

    Imezuka taharuki kwa baadhi ya wakazi wa Mabwepande Wilaya na Kinondoni wanaodaiwa kujenga eneo lisiloruhusiwa, baada ya nyumba zao kubomolewa huku wakiwa hawajui la kufanya na familia zao. Akizungumza kwa simu na Mwananchi kuhusu ubomoaji huo ulioanza Julai 4, Mkurugenzi wa Manispaa ya...
  4. Elitwege

    Kwa lugha na mienendo ya viongozi wa sasa, bwawa la umeme lisingejengwa

    Maradhi na ukame vilikuwepo tangu enzi za mababu zetu tena magonjwa makali sana kuliko haya. Hizi kejeli za kukosoa mradi wa bwawa la umeme kwa kisingizio cha kuharibu mazingira zikome kabisa Rais Samia Hassan amesema kuna maradhi ambayo hayakuwepo siku za nyuma lakini yanajitokeza siku za...
  5. Elitwege

    Kwa rushwa na ufisadi huu, Sabaya arejeshwe wilaya ya Hai

    Kwa masikikito makubwa na kwa kilio kikubwa tunakuomba uheshimu chama cha mapinduzi. Umekuwa ukipokea rushwa kwa wagombea wote wanaochukua na kurudisha fomu za jumuia ya wazazi wilaya ya Hai mkoa wa kilimanjaro bila aibu tena kwa kujiamini. Umekatisha tamaa wanachama wa jumuia ya wazazi...
  6. Elitwege

    Wasiojulikana wavunja nyumba mbili Arusha na kuiba millioni kumi

    Watu wasiojulikana huko Ngarenaro mkoani Arusha usiku wa leo wamevamia nyumba mbili na kuzivunja zote kisha kuiba shillingi millioni 10 na kutokomea kusikojulikana.
  7. Elitwege

    Utafiti: Nyumba za kupanga zinavyoharibu akili

    Kama unaishi nyumba za kupanga zenye masharti lukuki hii inakuhusu sana, wataalamu wa afya ya akili na wanasaikolojia wameonya kuwa masharti hayo ni moja ya kichocheo cha mtu kukumbwa na magonjwa ya afya ya akili ikiwemo sonona. Takwimu za magonjwa ya afya ya akili kwa mwaka jana kutoka Wizara...
  8. Elitwege

    Mbunge Shabiby ahoji utaratibu unaotumika kufungua nchi, atahadharisha Tanzania kugeuka shamba la bibi

    Mbunge aliyejawa na hoja zenye mashiko kwa taifa letu Mh Shabiby amehoji utaratibu unaotumiwa na serikali ya awamu ya 6 kufungua nchi kwani unaelekea kuigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi kwa kila mgeni kufanya anavyotaka. Bwana Shabiby amesema sasa hivi wageni hasa wachina wameruhusiwa kuingia...
  9. Elitwege

    Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

    Dar es Salaam. Biashara ya ukahaba imevamia kwa kasi baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam, na kusababisha kero na adha kubwa katika makazi ya watu, hasa eneo la Sinza kiasi cha kuzifanya baadhi ya familia kuhama nyumba, Mwananchi limebaini. Wazazi na walezi wanasema hali hiyo pamoja na...
  10. Elitwege

    Magufuli hayupo lakini vyama vya Upinzani vinazidi kusahaulika, sasa hawana wa kumsingizia!

    Wako bize kuhudhuria ikulu kulamba asali. Wapinzani wa Tanzania wameachiw laana na Magufuli
  11. Elitwege

    Nape ajitafakari kama kuna haja ya kuendelea kuwa waziri, kwenda Chato na kwenda kanda ya ziwa

    Enzi ya Kikwete ilibaki kidogo Nape atimuliwe CCM Huyu mtoto wa nje ya ndoa ana laana
  12. Elitwege

    Siku Rais Magufuli anastaafu urais, itakuwa sherehe kubwa kwa Mafisadi

    Na ni kweli mafisadi yanakula hela hadi yanatapika
  13. Elitwege

    Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

    Unatetea maovu
  14. Elitwege

    Mbunge Saashisha atamba jimbo la Hai limepata ukombozi, Mbowe hakufanya kitu

    Wewe ndiyo mpuuzi ,mpaka sasa mbowe hajalalamika popote kama aliibiwa kura. Hata mahakamani hakwenda kupinga matokeo
Back
Top Bottom