Jamaniiiiii eeeh haba na haba hujaza kibaba na ukifika ugenini sharti ujitambulishe.....mime mwenzenu ndio kama hivyo.....naomba jamaniiii.....mi ni mwanaume haaaaswaaaa tena wa shokaaaaa.......sijaoa wala sijaolewa tehe tehe tehe.....mabint nipokeen kwa mikono miwili,wazee wenzangu mkono...
Natafuta mrembooo mwenye umri kuanzia miaka 24-26 awe mpenzi wangu.....bt awe tayari kuwa nami kwa upendo kabisa awe na kazi yake.....awe tayar kupima.......
Jamani password ni nzuri sana kama unatumia katika uaminifu na mpnz wako....
Na lazma mwenzako ajue paasord yako cz yy ni muhusika wa karibu kwako...
Mfano mm kwenye simu yanu zipo picha za mpnz wangu tukiwa kitandan uchi na mpnz wangu ni mtu maarufu anaejulikana...sasa bila kuweka paasword we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.