Sitta ni mchezaji imara kwenye timu mbovu. Ni vigumu kutambua mchango wake katika timu hiyo. Hata hivyo alitumia vizuri nafasi aliyoipata kwa kuanika maovu ya yanoyofanywa na chama chake cha ccm. Hivyo bado ni shujaa na tusimtathmini kwa tuvijimambo tudogo tudogo kama hutu!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.