Search results

  1. R

    Je angefaa kuwa SPIKA wa Bunge Letu - CCM ilimfanyia fitna?

    Sitta ni mchezaji imara kwenye timu mbovu. Ni vigumu kutambua mchango wake katika timu hiyo. Hata hivyo alitumia vizuri nafasi aliyoipata kwa kuanika maovu ya yanoyofanywa na chama chake cha ccm. Hivyo bado ni shujaa na tusimtathmini kwa tuvijimambo tudogo tudogo kama hutu!!!!!!
Back
Top Bottom