Nchi ya viwanda ileeèe kwenye kona. Jamani huu ni ukweli mchungu. Tunafurahi kuona bajeti ya mwaka huu ya wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi inavyoenda kutatua changamoto Katika miradi mikubwa ya maendeleo na kufanikisha kukamilika kwake. Miradi mikubwa inayoenda kukamilika ni hii hapa...
Mnaokejeli taarifa hii pingeni kwa vielelezo. Singida watu tunateseka kwa kukosa huduma mbalimbali leo tumeletewa hospitali Eti Elia digha na mkurugenzi wanashirikiana wanatumia kodi zetu kwenda kuloga kwa serikali sisi tusipate huduma bora za afya kwa maslahi ya matumbo yao
Hili ni ajabu la kumi duniani.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida Vijijini ambaye pia ni kibaraka mkubwa wa Lazaro Nyalandu, mbunge Monko, DED Rashid Mandoa, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Omari Ng'ombe pamoja na Diwani Munyawi Hinga wa Ikhanoda na wa Merya Idd wameondoka leo...
Baada ya serikali kutenga mamilioni ya fedha kwa ajili ya kujenga hospitali ya wilaya Katika mji mdogo wa Ilongero ambapo ni eneo pendekezwa kwa ajili ya kujenga makao makuu ya halmashauri, mbunge wa jimbo Justin Monko na mkurugenzi wa wilaya Rashid Mandoa wameonekana wakipanga njama za...
Msikilize mwenyewe. Ameiomba serikali kufanya kazi kwa kuitumia mifumo yake rasmi iliyopo kisheria kwa kuepuka kufanya kazi kwa zina moto. Sima amelieleza bunge kuwa utawala bora ni kiongozi kusikiliza kisha kurudi Katika mifumo rasmi ya serikali. Ametolea mfano wa mama aliyejitokeza ikulu...
Napasua jipu pwaaa!!! Taarifa rasmi iliyopatikana kutoka Bumbuli Tanga ni kwamba suluhu imeshapatikana kuhusu wapi ijengwe makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Bumbuli. Hii ni kutokana na juhudi na msimamo thabiti wa waziri wa TAuMISEMI mh Selemani Jaffo. Shida iliyopo ni wenye mabavu kupoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.