Ukiwa unaugua ukimuomba ndugu yako laki 2 tu nadhani hata kukuona anaweza asije tena ila anapokufa mgonjwa,,upendo wa kinafiki anaoneshwa Hali ya kua hawezi tena ata kusema asante
Hiyo ni kweli ,,mimi imenikuta kwa Baba yangu mzazi, ilikua asubuhi mnamo mwezi wa 5 mwaka 2007 ,,Tumeamka vizuri tu , familia yote ,tulivokua tunajiandaa kwenda shule mimi na ndugu zangu ,,Baba yetu ali kua akituangalia sana ,,mpaka tukawa na mashaka mzee ananini leo, , alichosema ,,muwe makini...
Mambo yanatisha sana ,,,ndio maana babu yangu alikua wakati mwenge ukipita atatufungia ndani na kusema hatuna macho ya kuutazama ule ,,sikuwahi kuelewa maana yake ,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.