Thanks kwa ku promote hiyo application, hii SAVEFROMINSTA ni site yangu, na nimei code mwenyewe kwa kutumia instagram API,
Nimeiweka katika namna ambayo pia unaweza share any public photo from instagram to Facebook bila haja ya kui download kwanza!
Karibni sana mnisaidie kuipa promo site...
Can you hear yourself??? Unalinganisha internet popularity ya Donald Trump na Tundu Lissu??? Duuuh. Kweli mahaba yakizidi ni balaa. Na likes million 8 za Facebook unazielewa kweli??
Kwa wale watumiaji wa instagram wanafaham kwamba ni almost impossible ku download au ku save picha moja kwa moja kutoka instagram, zaidi wengi huamua ku screenshot.
Sasa ku save picha au video moja kwa moja copy "share url" ya hiyo instagram video au picha, halafu fungua link hii...
Pole jamaa, watu wanakutukana kwa kuwa hawaelewi maana ya 3d printing.
Ku print pilau pia inawezekana kwa kuwa so far waweza print vyakula kama pizza na burger. But itabidi hiyo pilau iwe na shape maalum inayoeleweka.
Natoa wito, wabongo tupende kujifunza, sio kupinga kila kitu.
Nauza TECNO L5, ina betry ya 5000 MAh, (Inakaa wiki na zaidi kama huitumii heavy with 3G off) ina uwezo wa kufanya reverse charging (ikatumika kama power bank kucharge simu nyingine)
1GB Ram
8GB internal memory
5 Megapixels Camera with flash
1.3Ghz quad-core processor
Android 5.1
PM me...
A man crowned the ugliest man in Uganda has become a dad for the eighth time. Godfrey Baguma, known as Sebabi – which means ‘ugliest of them all’ – suffers from a rare medical condition giving him his distinctive looks.
The 47-year-old married his second wife Kate Namanda, 30, in 2013.
Since...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.