Habari wakuu, hali ya maisha imezidi kuwa mbaya kiuchumia kwa baadhi ya raia wengi wa nchi hii. Pesa ikiwa haipatikani na ikipatikana hamna cha maana unachoweza kuifanyia...
Nimekuwa nasikia kupanda kwa unga tu, jana nimepita mashine kununua unga kilo 25 kwa bei ya jumla na kukuta unga umepanda...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni mmiliki wa bajaj 4, nahitaji kujua kampuni ambayo inajihusisha na kutoa huduma ya kufunga GPS kwenye bajaj, nalazimika kufanya hivi kutokana na wizi uliokidhiri wa vyombo hivi.
Kwa wenye taarifa na bei za kampuni inayohusika na huduma hii anifahamishe tafadhali.
Habari ndugu zangu.
Kama nilivyoeleza hapo juu nataka kukatia bajaj yangu bima kubwa tatizo sijui ni kampuni gani ya uhakika ambao siyo wa babaishaji pale mteja wao anapopata tatizo lolote.
Naombeni ushauri wenu siangalii wanatoza % ya thamani ya bajaji bali uhakika wa kupewa stahili yangu...
Wacha ujinga wewe, huyo mwanamke anakupenda.... angekuwa hakupenda wala asingeekuambia.... Hakuna mwanamke mwaaminifu kama ilivyo kwa wawanaume pia.... tulia ndugu kugongewa ni suna yakhe alaaaaaaaaaa! na hiyo ndio chachadu ya penzi kama ujui ongeza mbwebwe ili usisalitiwe tena
Habari wakuu, naomba kupata app nzuri ya android ya kufuta hay kuondoa merge contacts tafadhali, na contact zaidi ya 6000 sasa nimebilisha simu Ike kuweka account ya Google Tu contact zangu zimejirudia au kwenye jina Mika namba kujisave zaidi ya mara moja hadi kufikia 12,000 mpaka phonebook...
Kukatika kwa umeme ni nchi nzima ndugu, huu ni mgao au ndio maandalizi ya kukata umeme nchi nzima siku ya upugaji kura ili wachakachue vizuri. Juzi nilikuwa mbeya ni hivyo hivyo huku nilikwa hivi navyoandika hapa nachaji simu kwenye gari
hawawezi hao, nimsikia Ruge anajitetea hawezi mlazimisha mtu kuchagua upande wowote wa chama au mtu eti ni uamuzi wa mtu binafsi, kama anaelewa hivyo why anatumia anatumia chombo chake cha habari kuegemea upande mmoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.