Ushauri wangu kwa huyo mama ni kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Atulie na kumwambia Mungu asante. Wenye nchi yao wameshaamua hata alie na kutoa machozi ya damu haisadii kitu. Afterall mwanaye alishakufa hata kama huyo binti angepigwa risasi bado mwanaye hawezi kurudi. Ameen
Kwani wewe ndio kwanza unahisi lipo tatizo? JK1 aliwahi kusema " Walipotoka Zanzibar kimyakimya wakaanza kutenda mambo ya hovyo 'sisi wenye akili' tukajua mambo tayari". Hebu tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.