Habari wadau.
Nilimuona Waziri Mkuu akikemea pale Bandarini juu ya idadi kubwa ya magari yaliyoingizwa nchini ilihali mengi yametengenezwa chini ya mwaka 2010 na akasema anashangaa magari hayo yameruhusiwa na TBS wakati sheria inakataza.
Hivi hii inekaaje?
Inamana kwa sasa huwezi kuagiza gari...
Hii ni theory au kweli kuna mtu amewahi fanya?
Hivi mwanaume ambaye ameshawahi kulala na mwanamke na ni mzima wa afya anawezaje kukaa miaka 2 bila kufanya mampenzi?
Au wakati unamwangalia hiyo miaka miwili pembeni una mchepuko wako?
Jamani kama hatuna ushauri mzuri tuache hizo za Alinacha...
*Membe amburuza Musiba kortini*
Na Ansbert Ngurumo
Decemba 22, 2018
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mstaafu, Bernard Membe, amefungua shauri mahakama kuu dhidi ya Cyprian Musiba akimtaka alipe mabilioni ya fedha kwa kumchafua.
Shauri hili tayari limesajiliwa Mahakama Kuu...
Hahahahahah kwani yeye ndo anataka kusaka wateja kwa ajili ya wenzake.....
Nakumbuka nilifanya kazi ya sales nikaacha kazi baada ya siku 52 tangu kuajiriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.