Ndugu watanzania kesho jumanne saa 10:00jioni tutakuwa na ibada kanisa kuu la Mt.Joseph Posta mpya kutafanyika ibada maalum ya kumuombea ndugu yetu Dr.Mvungi ili apate nafuu katika maumivu aliyonayo na Mungu amsaidie apone haraka. viongozi wa dini mbalimbali watashiriki, vyama vya siasa, asasi...
Leo makao makuu ya chama cha NCCR-Mageuzi Naibu Katibu Mkuu taifa wa chama cha SAU ndugu MCHATA, Katibu wa Chama cha APPT-Maendeleo mkoa wa Tanga ndugu Manyeko, Mwanachama wa CHADEMA ndugu Lilian na Kiongozi wa CCM wamejiunga na chama cha NCCR-mageuzi mbele ya waandishi wa habari leo mchana na...
Mwenyekiti WA chama cha NCCR-Mageuzi Leo yupo chuo kikuu cha Mt.Augustino(SAUT-Mwanza) katika kongamano la Maambukizi ya VVU NA UKIMWI kwa wanafunzi WA elimu ya juu, kikubwa alichosema ni umaskini wetu ndio unaosababisha kupata UKIMWI pamoja NA mfumo mbovu WA elimu unaosababisha vijana kuiga...
NASHUKRU CHADEMA,NCCR-MAGEUZI na CUF MMEFATA MAONI YANGU KUTOKA KWENYE MAKALA YANGU ILIYOTOKA GAZETI LA FAHAMA LA FEBRUARY 2013,Nimechukua swali moja tu kati ya maswali 15 niliyojibu siku hiyo;
1.Unaelezeaje siasa za vyama vya upinzani nchini kwa ujumla, unadhani vinalenga ukombozi wa...
kuna taarifa kuwa waziri aliyejiudhuru edward lowasa akipigwa chini kura za maoni CCM 2015 atajiunga na chama cha NCCR-mageuzi ili kugombea nafasi ya urais, kutoka ndani ya habari mazungumzo yameanza kufanyika.
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu...
Chama cha NCCR-Mageuzi kiko mbioni kuja na mbinu mpya ya kujenga umoja wa watanzania bila vurugu, mkakati huu unatazamiwa kuanza mapema mwezi wa oktoba 2013, tega sikio na macho.
Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema(BAVICHA) mkoa wa Mwanza amejiunga na chama cha NCCR-Mageuzi katika mikutano ya kampeni za udiwani zinazoendelea kata ya Nyampurukano wilayani Sengerema. Pichani akikabidhiwa kadi na Katibu wa Habari na Uenezi Taifa, kitengo cha vijana wa Nccr-Mageuzi, pia...
Katika hali isiyo ya kawaida OCD wa kahama leo asubuhi alitaka kuzuia matembezi ya Amani akidai eti yanaweza kusababisha vurugu, hata hivyo Mh.Mbatia aliwasiliana na RPC mkoa wa Shinyanga na kufikia kuruhusu kuendelea na matembezi hayo ya Amani. hata hivyo OCD alidanganya kwamba ameagizwa kutoka...
katika hali isiyo ya kawaida Chama cha NCCR-mageuzi kimeiteka jana wilaya yakahama nakusababishagumzo mjimzima, ziarayachama hichi inaitwa OPERESHENI UZALENDOAMKA KAHAMA, ikiongozwa na ndugu Deogratius Kisandu na Hemed Msabaha mjumbe wa halmashauri Taifa NEC ya NCCR_mageuzi. maelfu ya wanakahama...
Yaani wewe ndio mbulula kabisa, Machali alipata kura ngapi dhidi ya mgombea wako wa CHADEMA. Ok, 1995 tulianguka sawa, 2010 CHADEMA mlianguka, tumelingana, sasa zamu yetu tena. WEWE unafanya siasa za upepo ndio maana unatumika kama pedi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.