HAMJAMBO WADAU
Leo ni siku ya furaha duniani je wewe unaiazimishaje siku ya leo.
Je ulishawahi kupata furaha maisha mwako? je unayo furaha hata kama ukipitaka hali ngumu.
Je unafurahia kila jambo au kitu upatacho maishani mwako au unakuwa na huzuni?
Shiriki hapa kutuambia unafurahije pale...
Habari wadau,
Ninatoa huduma za Usajili wa Makampuni BRELA
A] usajili wa Jina la Biashara
b] usajili wa kupata cheti cha kuzaliwa toka NIDA
C] kutengeneza company profile na annual report
d] tunatayarisha memorandum and article of association
e] tunadesign business card, stickers, logo's,
f]...
Habari zenu wadau
Habari Onana nasi NESSA PRINTING kwa huduma zifuatazo kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirt(Embroiders. Computarize, Screen printing) Mugs, Stickers, Posters, Magazines, Annual Reports, Books (such as: Proforma invoice, Receipts...
Habari zenu wadau
Habari Onana nasi NESSA PRINTING kwa huduma zifuatazo kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirt(Embroiders. Computarize, Screen printing) Mugs, Stickers, Posters, Magazines, Annual Reports, Books (such as: Proforma invoice, Receipts...
Habari wadau wote
Kuna nyakati mbalimbali tunazopitia katika maisha yetu ziko nyakati za furaha , huzuni, kicheko, kupata na kukosa kuwa na kitu ama kutokuwa nacho, kuwa pekee au kuwa na watu, kuwa mtu wa juu ama wa chini yote katika maisha yapo hivyo huna budi kupambana na kujifunza na...
HABARINI WADAU
Muda mwingi nakuwa mtazamaji na msomaji wa thread za wadau humu ndani sijaweka chapisho kwa muda sasa tplakana na kubanwa na shughuli nyingi sana za kijamii
Leo napenda kuongelea jambo moja ambalo ni "KUJITAMBUA KUA UKO DENJAZONE"
mwanadamu tumeumbwa tofauti sana wako wenigine...
HABARI WADAU
Natumai mu wazima, nimefurahia kujitokeza tena kwenye kinyang'anyiro cha shindano hili
hapa jukwaani.
Nijikite kwenye mada tajwa hapo juu isemayo: "Uwajibikaji mahali pa kazi hulete chachu ya maendeleo na kukua kwa uchumi kwa jamii inayotuzunguka na eneo uliilopo na hata kwa mtu...
Habarini Wadau wangu wa nguvu
Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele ingawaje nina kahoma na kifua kuuma [sijui ndo korona hii shindwa} nafurahia kufikia siku hii muhimu...
Habari wadau mabestito wa zamani na wasasa (wanasema ya kale ni dhahabu)
Ninafuraha iliyoje kumtakia mwandani wangu kumbukizi ya kuzaliwa kwake, Mungu ampe miaka mingi ya ubabu kabisa aje kusahau hata kuingia humu JF hahaaaaaaaaaa.
Chachu jisikie kupendwa kwa namna hii hata kama hujaona...
Habari wadau,
Hizi zama zimebadilika sana, huwezi kuona mtu wa hali ya chini akawa afisa maendeleo kata, ama huwezi kukuta mtu akimegewa mkate ulionona ilihali na yeye amezama akabukua na kutoa matirio mazuri ila sasa kwenye mgawanyo hukosa hata soko lake.
Je, kuna ulinganifu hapo jamani ndo...
Habarini wadau wangu,
Natumai mko vyema na mnaendelea na majukumu yenu ya kutafuta ugali wa kila siku.
Ni bora leo tukaongelea jambo hususani lenye kuleta tija katika mstakabari wa maisha yetu. Je, kwanini unasema maisha yamekuwa magumu, vitu vimepanda kama ndege angani ilahali bado uko...
Habarini wadau wa hapa.
Rejea kichwa cha habari hapo juu natafuta wanunuzi wa jumla wa zao la mbaazi nimelima Morogoro. Kilo nauza 2000 karibuni kwa anayehitaji au anaye mtu anayehitaji mbaazi kwa wingi.
Karibu sana.
HABARINI
Wadau kwa anayehitaji mbaazi zipo zinapatikana ni inbox kwani natafuta wanunuzi wa mbaazi au kwa anayefahamu soko lake naweza pata wapi wadau nisaidieni.
Awali ya yote ningependa kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai na afya njema mpaka sasa ya kuweza kuandika Makala haya yenye kuleta badiliko kwa jamii hususani kijana na jamii inayotuzunguka katika mstakabali wa maendeleo yao.Pale watakapochukua hatua ya ziada kuondokana na hali ya kusitasita na woga...
Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya yote ingawaje safari kuna vikwazo vingi ila muumba Mbingu na Nchi amenivusha nafurahia kufikia siku...
AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI
Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako MY DEAR wa kumoyo
Basi wadau na wapenzi na marafiki za Chachu Ombara mtakieni heri Mr...
Habarini wadau wa humu.
Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha?
TIRIRIKENI WADAU hapa.
Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito.
Wasalamu
Ladyf
Habarini Wadau
Leo ni siku ya WALIMU DUNIANI. Je ni jambo gani unalikumbuka ambalo Mwalimu alifanya juu yako iwe kukupatia elimu nzuri na bora, ama iwe chochote alichokifanya juu yako mpk uko hivyo ulivyo.
Wadau tiririkeni mambo mnayokumbuka pindi mlipokuwa shuleni/vyuoni au pindi mlipo sasa...
HABARI
Wadau muwazima
Ni kitambo tumekosana humu mjengoni maana hizi pilikapilika za maisha acha tu bwana zimeniendesha mpk basi
niliwamiso sana hasa wale wadau wa enzi zile akina Bujibuji Asprin Madame B snowhite Husninyo Mtambuzi KakaKiiza
Khantwe lady general na wengine wengi mpaka...
JE, UNASITA KUFANYA KITU TOKANA NA WASIWASI NDANI YAKO?
Hofu/mashaka/ wasiwasi unatufanya tusiendelee mbele na unatudumaza tunabaki vilevile tungali masikini na unaleta umaskini ndani yetu na kubaki vilevile tu bila hata kudhubutu kutenda jambo kuu katika Maisha yetu. Tufanye nini sasa iili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.