duu unatushauri nn sisi ambao hasa mm huwa nakuwa na kazi nyingi mpaka usiku sana sipati usingizi wa kutosha na naamka alfajiri sana kuwahi job nifanyeje mkuu kwa hasa hupande huu wa kupata usingizi
pole basi tatizo lako liko kisaikolojia zaidi mwombe Mungu akusaidie au waweza kwenda kwa watalaamu wa saikolojia uwaeleze watakusaidia kwani kila mwanadamu ana shida anazopitia bali wanajitia nguvu na kusonga mbele hivyo be strong na onana na hao watalamu
HAMJAMBO WADAU
Leo ni siku ya furaha duniani je wewe unaiazimishaje siku ya leo.
Je ulishawahi kupata furaha maisha mwako? je unayo furaha hata kama ukipitaka hali ngumu.
Je unafurahia kila jambo au kitu upatacho maishani mwako au unakuwa na huzuni?
Shiriki hapa kutuambia unafurahije pale...
hongereni wanawake wote wa humu jf bila kuwasahau wakaaribu. charming lady, Lady doctor, lady kasagule firstlady na malady wote wa hapa
UJUMBE
Tupambane kutafuta ridhiki tusijibwete, tujitume na tuwe na juhudi kwani ndo nguzo ya familia
mwanamke ukielimika, ukijituma, na kupambana utaokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.