Kama title inavyojieleza
Naombeni ufafanuzi juu ya hili jamanii
Kuna binti aged 18 single mother nilikutana nae kipindi cha sensa nikaomba namba tukaanza mawasiliano
Baada ya muda nikaomba nikutane nae akaanza visingizio mara naumwa , mara nimeenda kwa dada nitachelewa kurudi nikaendelea...
Baada ya kukaa na huyu demu kwa miezi 8 kwenye mahusiano na kumgegeda zaidi ya mara 30 nikamchoka na nikakosa hisia nae
Last week nimemgonga nikamwacha kimya kimya na kumlia buyu.
Jana anaibuka ananiuliza tumeachana nikamjibu why unaniuliza hivyo akajibu anaona nimemchunia
Nikamwambia...
Sensa kwa Maendeleo. Jiandae kuhesabiwa
Baada ya salaam hapo juu niende kwenye jambo langu.
Miezi ya hivi karibuni kuna jambo linanishangaza sana ninapokuwa nachakata mbususu. Goli la kwanza linatoka fresh kabisa.
Ila nikianza kulitafuta goli la pili linachelewa kutoka na sometimes halitoki...
Hawa viumbe kwa kweli hawaeleweki wanataka nini
Na wanaongoza kwa unafiki/maigizo katika mahusiano
Kitu nlichogundua mwanaume nenda kwa demu to.mba kojoa sepa,masuala sijui ya kusimamia kucha,sijui kumkojoza,sijui kwenda uvinza ni ujinga tu,hawana maana hawa watu
Atakusifia baby unanitomba...
Wasalaam!!
Hivi hii kauli inayosemwa na wanawake hasa mkiwa na migogoro eti "nimekuheshimisha unaitwa baba" inakua na maana gani kwenu nyie wanawake!!?
Hivi wee mwanamke unapojiona upo juu na kutaka upewe heshima kisa umezalishwa na mwanaume ujasiri huo unautoa wapi? Maana huyo mtoto...
[emoji28][emoji28] kuna mabinti wengine akili zao sijui zipoje.
Mwaka 2017 nlikua nadate na binti flani enzi hizo alikua bado mbichi kabisa miaka 18, siku namwambia tukutane kaniambia niandae mafuta nikamle nanilii.
Basi bhana mapenzi yakaendelea lakini kuna kipindi kikafika tukaachana kimya...
TTCL Customer Care Tanzania nyie ni wapuuzi sana
Nimefuatilia muda mrefu na nimegundua mnaruhusu wateja wasio wahusika wa alama za vidole kutumia special namba ya mtandao wenu kutoka kwa namba za mitandao mingine.
Kwa nini mnaruhusu hii kitu?? Mnashida ya wateja,mnatafuta umaarufu au masuala...
Hili jambo nimekua nalisikia sikia sana kwa watu.
Kwamba kuna baadhi ya Wanawake ukiwa nao kwenye mahusiano au kufunga nae ndo wanakuwa kama mkosi kwako usifanikishe masuala yako
Kila unachojaribu kufanya hakifanikiwi, na kusonga mbele kimaisha inakua ni ngumu.
Je kuna ukweli wowote juu ya...
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter
Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais...
Nimekutana na huyu binti pisi kali kabisa
Baada ya kuanza kuwa nae karibu nimegundua ana tatizo la usikivu hafifu sana. Napata shida kuongea nae hasa mbele za watu maana inanilazimu kuongea nae kwa sauti ya juu huku nimemwangalia usoni, sometimes inanibidi nimsogelee zaidi maskioni ili aweze...
Najua hili sio jukwaa la uchumi ila kutokana na unyeti wa jukwaa hili maana naamini ndio jukwaa linaloongoza kutembelewa zaidi na watu mbalimbali mmoja wapo Mimi
Sasa kama mada inavyojieleza, kutokana na hali halisi ya maisha na ugumu wa ajira nilipata mchongo flani ambao salary yake ndo hiyo...
Tabia ya hii familia ya mke wangu nashindwa kuielewa.
Alianza mama Mkwe kuja nyumbani kwangu bila taarifa,siku hiyo nimejipumzisha chumba cha wageni nashangaa naitwa na mama Mkwe hapo nipo na boksa tu nikajiuliza jinsi ya kutoka nje manake kwa mfumo wa nyumba yangu ,chumba ambacho nililala kipo...
Juzi nlikuja na Uzi hapa kuelezea matatizo ya mahusiano yangu na mke wangu
Jana kaja home na watoto kwa ajili ya likizo fupi ya sikukuu
Kwanza wakati anaanza safari kaanza na gubu na kelele,kufika home hajaniambia wakati huo nimetoka zangu kupiga maji nikamwambia nipe simu yako.
Akaanza...
Nina mke nimezaa nae watoto watatu
Tangu tumeanza mahusiano hadi Leo tunaishi mbalimbali hii ni kutokana na masuala ya kikazi, ingawa Hatuko mikoa ya mbalimbali, mara moja moja naenda kumcheck wife na watoto
Ila kiukweli najihisi kabisa ni bachela
Mke hajui kupiga simu,mke Hayuko romantic...
Wanaume wenzangu wa Mwanza msitumike kizembe kulipia hela ya Savannah na bia za bei mbaya wakati kuna mademu wengi kuanzia hapa Kona ya bwiru the dream resort mpaka diamond outlink ni wanywaji wa pilsner za buku buku tu
Hawa mademu wa Bongo mkiwaingia kichwa kichwa watawapiga sana hela na JF...
Kama Mada inavyojieleza juzi tu hapa machinga wamefurumshwa mjini kati, Jana wakaandamana, Leo usiku huu rocky City mall inaungua hasa sehemu ya kuchezea watoto
CCM hamjawahi kushinda uchaguzi, halafu mwenda zake aliwakingia kifua machinga nchi nzima wakafanya biashara wanapotaka Leo hii...
Siku za hivi karibuni kuna baadhi ya magonjwa imekuwa ni kama biashara na kwa kugundua hilo mahospital mengi wameamua kuleta vipimo Ili kujipatia faida zaidi
Siku hizi kila ukienda hospital kabla hujamwona dokta utalazimika kupimwa presha na wengi wanakutwa nayo.
Hapo unaambiwa Anza dawa...
Wananzengo salamu kwenu.
Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.
Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada ya muda akafanikiwa kupata kazi tukaendelea kuishi na kupata watoto hadi mwaka jana tulipofunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.