Search results

  1. LUKAMA

    Bonyeza hapa kwa majadiliano ya kina kuhusu madai ya kazi ya upwork

    Kwema hapo wakuu mimi ni mdau wa remote jobs hasa upwork. Niliona tangazo huko upwork nika apply jamaa kanijibu nikapata kazi. Jamaa alinipa link ya telegram ambo upwork hawaruhusu kufanya ivo cos upwork hawapati chochote kutoka kwangu (upwork wanakata 10% kwa kila kazi ninayo fanya). Kazi...
  2. LUKAMA

    Kimya sana: Viongozi wa chama mbona hatuwasikii hamuoni mtandaoni

    Poleni kwa kazi wakuu hapa ndani, Toka mkataba/ makubaliono ya URT na DUBAI uvuje kumekuwa na kelele nyingi sana mitandaoni hadi mtaani. Kuna wale wanao elewa nini kina zungumzwa na kujadiliwa na kuna wengine hawaelewi kitu. Wanachojua tu bandari imeuzwa kwa waarabu. Mara nyingi kama kuna...
  3. LUKAMA

    Ukanda wa Pwani kwa umbea ni hatari

    Yaani nipo mkoa x wa pwani ya Tanzania watu wahuku ni hatari kwaumbea, kupigana na kurogana, watu hawa wote ni majirani zangu na wate waabudu dini ya mudi. Me nimejitokea mkoani huko ambako kila mtu hana time na mwenzake, wapo vizuri kwa kulazimisha urafiki ili wapate kukusema vizuri na...
  4. LUKAMA

    Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

    Mwaka 2017 May ni mdau niliye shawishika sana kujiunga na jamii forum, kabla ya hapo nilikuwa nasoma tu na kupita hivi na sikuwa member. Ikaja thread moja kutoka kwa kijana machachali ontario kuhusu forex nikasoma na nikashawishika sana, kwa kipindi hicho nilikuwa mwa watatu chuo so kuna course...
  5. LUKAMA

    Salman Rushdie ni nani? Mwandishi aliyeibuka kutoka mafichoni (satanic verses)

    Modes naomba msiunganishe thread yangu na mtu yeyote Kwa miongo mitano aliyojihusisha na fasihi, Sir Salman Rushdie si mgeni na vitisho vya kuaawa anavyokabiliwa navyo kutokana na kazi yake. Mwandishi huyu wa riwaya ni mmoja kati ya waandishi wa Uingereza wanao pigiwa upatu na aliye na...
  6. LUKAMA

    Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

    Jamani kwema Hayati Magufuli alikuwa ana mapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyohusu maslahi ya taifa alikuwa mkali kupitiliza, alijitahidi kuboresha miondombinu kila idara majini (bandari zote), nchi kavu na angani Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢...
  7. LUKAMA

    Howard Hughes: Bilionea wa ajabu aliyekaa akiwa utupu na kujaza mkojo wake kwenye chupa

    'Kumbuka jambo moja, hakuna mtu ambaye siwezi kumnunua au kumharibu nikitaka.' Haya ni maneno ya mfanyabiashara tajiri zaidi Marekani wakati mmoja. Jina lake ni Howard Hughes na ulimwengu unamfahamu sio tu kama mfanyabiashara wa viwanda, mtafiti, mtengenezaji wa filamu, shujaa wa zama mpya...
  8. LUKAMA

    Haya ni maajabu 6 ya kahawa yanayowaduwaza wengi duniani

    Nb:Naomba mods kuheshimu thread za watu, kazi yenu isiwe kufuta au kuunganisha thread za watu, sometime mnakera kinyama Dunia haijawahi kuwa na wasiwasi kuhusu kahawa. Iwe tunakunywa kikombe kimoja cha kuamka asubuhi, espresso baada ya chakula cha mchana au cappuccino jioni, hatujawahi kutumia...
  9. LUKAMA

    Vita vya Ukraine: Urusi yaharibu miundombinu ya reli kuzuia silaha za kigeni kuingia Ukraine

    Urusi iligonga miundombinu ya reli kote Ukraine siku ya Jumatatu kwa lengo la kuzuia usambazaji wa silaha za kigeni, huku Marekani ikitangaza kuwa itatoa silaha zaidi licha ya pingamizi la Moscow. Takriban watu watano waliuawa na 18 kujeruhiwa katika mashambulizi ya Urusi katika eneo la...
  10. LUKAMA

    Titanic: Siri nne zisizojulikana hata baada ya miaka 110 ya kuzama kwa Titanic

    Kwa msaada wa bbc Miaka 110 iliyopita, Titanic iligongana na mwamba wa barafu wakati wa usiku wa giza. Wakati huo abiria wengi walikuwa usingizini. Wakati ajali hiyo inatokea, meli ya Titanic ilikuwa ikitoka Southampton, Uingereza kuelekea New York, Marekani, kwa mwendo wa kilomita 41 kwa saa...
  11. LUKAMA

    Mgao wa umeme na maji Moshi

    Tanesco wamezidi sana kuanzia weekend umeme unakatika ikifika saa tatu usiku na unarudi usiku wa manane, watu wengine shughuri zetu tunafanya usiku pia kuna viwanda vinavyofanya kazi hasa kipindi cha usiku Shida nyingine maji yakatika sana hasa mitaa ya KCMC na rau, ivi ninavyo andika hapa Rau...
  12. LUKAMA

    Jinsi Israeli ilivyoweza kupata Nguvu ya Kijeshi Mashariki ya Kati na kuwa tishio

    Unachofaa kujua ni kwamba Israeli inabaki katika hali ya ukosefu wa usalama kwa sababu ya kukosa kuafikia amani ya kudumu na majirani zake. Hilo limedhihirika kutokana na machafuko ya kila mara katika sehemu za Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza hatua inayomaanisha kwamba Yerusalemu...
  13. LUKAMA

    Saddam Hussein: Siri ya toleo la Qur'an lililoandikwa kwa 'lita 24 za damu' ya rais wa zamani wa Iraq- Dunia hii ina mambo mengi sana

    Mwishoni mwa miaka ya 1990, Saddam Hussein alimwendea mpiga picha akiwa na ombi la kushangaza. Saddam Hussein, ambaye aliingia madarakani mnamo mwaka 1979, alibakia kuwa rais wa Iraq hadi uvamizi ulioongozwa na Marekani mnamo 2003. Alitaka kutengeneza nakala ya Kitabu kitakatifu cha Qur'an kwa...
  14. LUKAMA

    Wasovieti walitoa AK 47 nao Wamarekani wakatoa M16-bunduki hizi zinatofautiana vipi?

    Kwa msaada wa bbc AK-47 na M16 ni bunduki mbili kati ya zinazotumika sana ulimwenguni.Mizozo mingi ya kivita hasa barani Afrika imehusisha matumizi ya bunduki hizi na hata sasa katika sehemu zinazoshuhudia machafuko kama vile nchini Msumbiji,Somalia na Jamhuri ya kati mwa Afrik bunduki hizi zipo...
  15. LUKAMA

    Ni macho yangu au nimekosea! Msaada nifaamishwe hiki ni kitu gani!

    Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini. Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine...
  16. LUKAMA

    Ukuaji wa mziki wa Afrika. Hakika tunakua na kusonga mbele

    Habari za kazi wa kuu katika jukwaa langu pendwa, kwanza natoa pole kwa member wote kwa kuondokewa na mtu muhimu katika jukwaa hili warumi simfaham sura ila kwa taarifa nilizo pata ni home boy kabisa.😭😢 Mimi nimdau wa mziki wa Afrika wa kizazi kipya kwa kitambo kirefu toka miaka ya 90 mwishoni...
  17. LUKAMA

    Msaada wa Makadirio ya gharama kutoka Tanzania kwenda Marekani kupiati njia zifuatazo

    Kama kichwa cha habari kinavo jieliza, nimeona habari moja toka BBC kuhusu raia wa Afrika magharibi sana sana Nageria wanaojilipua na kuvuka mpaka kwenda America japo kuwa njia ni hatari sana kwani watu wengi wanafia njiani na wengi pia wanafanikiwa kufika. Njia wanazopita Safari inaanzia...
  18. LUKAMA

    MWENYE UELEWA NA WORKAWAY

    Leo nimepia mitandao mbalimabli ya kushare experience ya maisha ya watu tofauti tofauti nimeanzia hapa JF nikaenda quora namitando mingine mingi kuangalia jinsigani watu wengine wanaishi, wanapataje kipato wana invest kwenye nini ili tu kufika kwenye malengo yao walio jiwekea. sina umri mkubwa...
  19. LUKAMA

    Wapenzi wa Radio Free Africa kipindi cha enzi hizo; ipi ilikuvutia zaidi

    Nakumbuaka 2009 kushuka chini hadi2003 nilikuwa mpenzi wa sitasahau radio pendwa enzi izo RFA ,nilikuwa napenda hadi nilikata moto wakwenda kanisani kisa sitasahau nakumbuka nyumbani walikuwa wananiita mapagani sikwenda kanisani miaka 3 mfulurulizo cos kila j2 mimi na radio na nilikuwa sisikilzi...
  20. LUKAMA

    Mahakama ya wachawi

    Nakumbuka 2007 kwenye gazeti la udaku la MAISHA nilikuwa nafuatilia sana ila sikuimalizia hadi mwisho. Anaweza Ku share nasi jamani Gazeti lilikuwa linatoka j5 kila week kama sikosei
Back
Top Bottom