Wakuu habarini, TV yangu aina ya TCL Smart TV imepigwa shoti haiwaki fundi kasema card ya Tv imeungua.
Sijui naweza pata card ya TV kwa bei gani na maeneo gani kwa Dar es Salaam?
Habarini wana jamvi,
Kama mada inavyojieleza, nipo kwenye uhusiano wa kimapenzi na bint mmoja wa kimakonde yapata mwaka mmoja na nusu sasa, mwaka jana alijiunga na chuo kimoja akisomea certificate ya record management.
Kwenye uhusiano wetu tulipanga mwaka huu baada ya kumaliza masomo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.