Mtibwa sugar sports club ni moja ya timu zilizodumu katika ligi kuu kwa muda mrefu! Ilipanda daraja enzi hizo ikiitwa daraja la kwanza mwaka 1996. Katika kipindi chote hicho wachezaji wengi wamepita katika timu hiyo. Kati ya vizazi vya wachezaji vilivyopita kizazi hiki kamwe hakitasahaulika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.