Kama kichwa kinavyoeleza Hapo naunza mpunga mzuri, upo Tabora gunia za debe saba zipo gunia za kutosha hata kama unahitaji magunia 400 hakuna shida
Bei ni shilingi 65,000 tsh kwa gunia
Kwa maelezo zaidi piga simu kwa namba
0620 466 351
Karibuni.
Habari wakuu
Shamba linauzwa ni robo Tatu ya heka lipo tukuyu mjini MbeyA
Shamba Lina Miche ya maparachichi ya kisasa ipatayo 70 ni kipo sehemu nzuri na limetunzwa ipasavyo
Miche ina mwaka mmoja na ipo usawa wa magoti inaendelea vizuri sana
Bei ni kuanzia million 8 na mazungumzo...
Wakuu habari zebu?
Niende moja kwa moja kwenye Mada
Nchi nyingi sana hasa ambazo hazina maendeleo Makubwa zimewekeza sana katika mfumo wa elimu ambao ni rasmi yani mtu anaenda shule anafundishwa lakini dhumuni kubwa ni kuja kuitumikia ile elimu katika nyanja mbalimbali hapa namaanisha...
Habari zenu wakuu?
Natafuta mtu anaweza kuniandikia business plan ya uhakika kabisa
Naomba unitafute pm na maelezo mengine yatapatikana huko
Thanks in advance
Wakuu habari zenu wakuu? Poleni na mihangaiko
Naomba kujuzwa soko zuri la hiriki na pilipili manga hasa ndani ya nchi maeneo kama unguja, mombasa,dar as salaam.
Naomba kujuzwa bei ya sokoni hasa kwa ujumla
Nina mzigo wa kutosha kutoka tanga kologwe shambani natoa saizi hiriki
Natumai kuna...
Wakuu habari za mida hii? Niende moja kwa moja kwenye mada
Baada ya kuweka vyeti ndani tena uvunguni kabisa (namaanisha degree) hili nimelifanya ni kwa sababu ya kukosa ajira na kuzunguka sana basi hayo ndio maamuzi niliyoyafikia. Sasa nikaingia mtaani rasmi na kuanza pilika pilika za hapa na...
Wakuu hivi huu mvutano uliopo kati ya USA na uchina vipi unausababishwa na ubabe tu au kuna namna ingine?
Trumph anapiga mikwala sana kuhusu kuipandisha kodi kwa bidhaa zinazoingia USA from China lakin cha ajabu china nae anavimba yani hataki kushuka yani anahakikisha analipiza neno kwa neo...
Wakuu habari za muda huu?
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa late 20's nilimaliza shule mwaka 2014 lakin paka leo sijapata ajira rasmi zaidi ya kuunga unga tu na mission town za hapa Dar es salaam
Mzee wangu ni mkulima pia mama ni mkulima nina dada na ma kaka bahati mbaya wote...
Bila kupoteza muda nimefanya kautafiti pori kidogo nimegundua mshahara au posho za watu wanaofanya kazi kwa wahindi huwa ni mishahara mbuzi(midogo sana) yani ambayo haikizi kabisa gharama za maisha
Mfano kuna kiwanda maeneo ya africana pale kibarua anakula 4500 tena anafanya kazi kuanzia saa...
Wakuu hebu tuongeleee kidogo hii michezo ya bahati nasibu kwangu sio mbaya sababu pia watu wanajipatia kipato na kubadili maisha ila tatizo linakuja pale ambapo radio zote nchini pamoja na tv zinapoongelea na ku promote kamali tena kwa nguvu zote
Natolea mfano hawa e fm radio aisee vipindi...
Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi...
Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi...
Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi...
Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi...
Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi...
Kama kichwa kinavyojieleza wakuu nahitaji kazi yoyote tu ili kuweza kumudu garama za maisha swala la malipo wala usiwaze ili mradi nipate nauli ya kwenda na kurudi karudi kazi lengo ni kujenga network na malengo mengine naamini yatatimia kutokana na connection nitkayoipata
Kuhusu elimu nina...
Habari zenu wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo kwa wenye uzoefu na interview za tra vipi maswali yanaweza kua kwa upande gani hasa kwa nafasi ya custom officer II pamoja na Tax officer II
Naomba kwa wenye ujuzi na uelewa zaidi tusaidiane wakuu
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.