Hielewi unachokisoma au ni upoyoyo tu?
Kishasema hii yetu siyo treni ya mwendo kasi "not high speed train".
Kuwa na SGR hakumaanishi treni ya mwendo kasi.
Kiislam hakuna uchaguzi wa viongozi wa dini. Kama wapo wanaofanya hivyo, Waislam wanaofata Uislam hawatakiwi kumchaguwa yeyotekati ya hao "wanaogombea" na hawatakiwi kujihusisha kabisa na huo uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.