Najua hali unayopitia kama una degree na uko Dar nenda ofisi za Asa microfinance zipo Upanga peleka CV yako hapo huwa huwa haipiti miezi mitatu au minne bila kuitisha usaili nafasi nyingi huwa ni maafisa mikopo kwa kuanzia utapata channel ya taasisi nyingine pia
Sikushauri ujitolee halmashauri kwa mfumo wa sa hivi hata ujitolee miaka mitano ajira zote ni ajira portal, pia hakutakuza career yako hamna kazi zitazokufanya ukue kitaaluma ukitaka jaribu private sector
Kozi zote ulizotaja unaweza kuwa afisa mipango hata kwenye mfumo wa sekreterieti ya ajira zimewekwa category ya planning, ila economics ni nzuri kwa baadaye unaweza hama halmashauri kwenda taasisi nyingine za serikali hata wizarani kwa urahisi kwa nafasi ya afisa mipango .
Sent from my TECNO...
Huyo jamaa haelewi hajui kutofatisha madaraja mtendaji kata daraja la tatu ni diploma, daraja la pili ni degree
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Acha ubishi kuna matangazo baadhi japo siyo mara nyingi wanahitaji watendajii kata daraja la pili tena kwenye tangazo wanaandika kabisa TGS D na mara nyingi yanapitia utumishi na wanachukua waliosoma degree za utawala na sheria
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kuna watendaji kata wenye diploma ambao hao ni watendaji kata daraja la tatu hao salary yao ni TGS C, na kuna watendaji kata daraja la pili,,ambao hao mara nyingi wanachukuliwa wenye degree ya sheria hao wanalipwa TGS D, inategemea na tangazo linahitaji wenye sifa zipi
Sent from my TECNO P703...
Kama upo Dar , nenda Upanga kampuni ya Asa microfinance wanachukua maafisa mikopo fani yoyote ,drop CV yako pale getini utapigiwa simu kwa ajili ya usaili,,,,
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Serikalini kama ni halmashauri hauwezi kupandishwa daraja kama bado hujathibitishwa kazini pili hata ukithibitishwa kuna kitu kinaitwa ikama yaani upungufu wa nafasi kwenye hiyo idara unayotaka kuomba kama wana upungufu wa kutosha ukithibitishwa tu unaomba kuhamia idarani chap ila kama hakuna...
Ukijiendeleza kwa kusoma hutakuwa mtendaji kwa miaka mitano ijayo , na pia utendaji ni ngazi tu ya kuanzia wengi wa watendaji wana bachelor wanatafuta tu cheki namba baada ya miaka miwili wanaomba kubadilishwa kada kuhamia halmashauri
Ingekuwa analipwa huko private zaidi ya milioni tatu ningeshauri abaki huko private lakini kwa mshahara huo wa private aende serikalini kwa TGS D huyo ni mhasibu asiye na CPA hivyo aingie serikalini kisha baada ya miaka michache akasome CPA akishaipata hapo anaweza kupambana kuingia taasisi na...
Mkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga...
Hongera sana wewe ni mmoja wa mfano wa vijana wapambanaji, hujawahi kukata tamaa pamoja na kukandwa sana hukôm nyuma ulikuwa mhamasishaji mzuri wa mapambano hiyo spirit yako ya mapambano o tuwe nayo wote
Wanawake ukiwatongoza usiwe serious sana ukiwa serious sana unawakosa ila ukiwatongoza kimasikhara ndo unawala, yaani ukimfata weka ile yaani hata akichomoa potelea mbali, hata huumii lakini ukipania lazima umpate ndo unawakosa. Siku hizi hakuna kutongoza chukua namba panga appointment ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.