Ngoja niendelee kujichangaa nije nimchukue huyu mnyama full Eletrical vehicle
Delivery inaanza tar 23 November
Wamerakani wanahamu sana kumpanda huyu mnyama
Risasi haipenyi
Nyundo haivunji na watu mil 1+ wameweka oda
Ndugu zangu team Subaru naomba mnikaribishe nimehama kutoka Toyota na kuingia Subaru.
Nimeagiza Subaru Forester ya 2011 katikati ya mwezi wa tisa inafika.
Naombeni vitu vya kuzingatia kwa ubora na uimara wa gari yangu
Naombeni msaada namna ya kujua mtu anayetumia hii namba +255 22 222 1500 maana imekuwa ikinipigia nikiapokea anakata sasa ni miezi miwili.
Hadi nimeingia na wasiwasi huyu ni nani na kwanini anafanya hivi.
Nikijaribu kupiga simu haiendi ila ananipigia kwa wiki mara 3 sasa nikipokea haongea na...
Kama kweli unataka kufanikiwa anza kwa kuwekeza kwenye maarifa.
Watanzania wengi akipata hela anawaza kufungua biashara. utasikia nina mil 100, mil 5 au nina 500k nifanye baishara gani?
“Biggest investment you make is to invest in your head”
Hakuna biashara mbaya au nzuri ishu ni kuwa na...
Wakuuu nimejichangachanga nataka kuagiza Toyota Raumu naomba wataalam msaada wa mambo mawili
1. Naomba waliowahi kununua gari kupitia Hizi website mbili
Realmotor.jp na
Sbimotor.com
Nimeangalia humo nimekuta Wanauza magari cheap sana ila sijasikia watanzania wakizitaja hizi website. Naomba...
Kama na wadau wengine walivyoeleza idadi ya watu kwa Tanzania inakua kwa kasi sana wakati ardhi iko fixed hivyo basi kupelekea thamani ya ardhi kupanda kila uchao.
Kwa maoni Yangu na analysis zangu badala ya MTU kuwekeza kwenye bond ni bora zaidi na faida kuwekeza kwenye ardhi au Real Estate...
Wadau mm ni mgeni nimekuja mwanza kikazi Kwa dharura nategemea kurudi Dom alhamisi jioni .
Naomba ushauri naweza kupata usafiri gani jioni wa kunifikisha Dom au kama kuna MTU ana private sikuhiyo ataenda Dodoma tuchangie mafuta.
Ahsanteni
Majirani zetu wameanza sisi Passport unahojiwa kama unataka kuingia Vaults ya BOT
=======
PostMaster General Dan Kagwe and Immigration Director General Alexander Muteshi during the signing of an MoU on May 3, 2021. PHOTO / COURTESY
By Vincent Anguche
Kenyans will now have their passports...
Kuna jamaangu mmoja yupo Dar juzikati akaniuliza kuhusu bei ya kuku Dodoma.nikamwambia sijui mana mm nipo mjini ngoja niulizie watu wa vijijini.
Nilivyouliza watu wa vijijini wakaniambia kuku mkubwa kabisa Tsh 7000 hadi 8000. Jamaa akaniomba nikamnunulie kuku 200 nikasema ngoja niende...
Wakuu habari za majukumu
Nimeona Kwa takribani majuma kazaa jukwaa letu limejaa nyuzi za kujilipua namimi nikasema ngoja nijaribu kuandika chochote kuhusu kuingia USA nilichojifunza Kwa Nigeria
Kwenye kitabu cha biblia kuna kisa kimoja cha watu wanaitwa "wakoma wanne" (2 wafalme 7:3-20),Kwa...
Cheers wadau,
Kwa wale ndugu zangu wanaohangaika kupata mafuta ya alizeti, tutawasaidia yanapatikana kwa uhakika na haraka zaidi.
Kwa sasa madumu yaliyopo ambayo hayana oda ni 100. Tunapatikana Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.