Wastara alipata ajali na kupata ulemavu kipindi yuko na sajuki.je Sajuki angemuacha kipindi kile leo tungekua tunaongea nn?Mungu mponye Sajuki na endelelea kumpa moyo wa ujasiri na ushujaa Wastara amsaidie vyema Msanii wetu mpendwa (mme wake)Sajuki
mh!kuishi single inaweza kua inamsumbua vile alishakua na mazoea yakua na relationship.ila sio ndo mtu kukosa furaha.watu tumeishi single tangu kitambo na tuko happy
huyo mdada ndo muda wakuchukua credit kwa mume wake.ampende zaidi na kumuheshimu zaidi kama mume wake coz chochote kikipungua atajisikia vibaya but hayo mambo mengine busara na hekima zitatumika polepole?kwan ameandikiwa dozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.