Oppo wana udambwi mwingi sana samsung hawan na ndio maan naikubali saana coloros iko bomba sana muonekan wake unavutia yani usiomb ukute oppo afu ina amoled screen ase ni tamu mno
kabisa mkuu asidharau yani kila mechi angalau aweke wenye experience na gemu nzito na winning mentality all in all naby keita akiwa form ni mtu hatari sijapata kuona
mkuu halotel kwangu wako njema yani kwa kifupi nawafaidi hamn sehem ninewah kwend wakaniangusha kuna siku nilienda maeneo ya porini uko yani voda walikuwa chali mara bar moja mara inapotea ila halotel ni h+ inakwenda vizuri mno hawa jamaa sijawah kuwajutia kutumia huenda labda na eneo ulipo...
wewe sijui unatumia halotel gani..! halotel wako vizuri sanaa mkuu nina lain mbili kweny simu yangu vodacom na halotel ila halotel huwa inaniokoa sana upatikanaji wa huduma za internet huwa ni mzuri
Wale watu bhana bado wapo ila nadhani vifurush saiv vimepungua japo still ni nafuu ila wakat unatak kuunganishwa na hiyo huduma be aware matapeli wako humu jamvini usije sema atukukuambia
Walikuwa nacho ila na wao wametoa mkuu wsngu nikushauri kitu kama unataka mtandao weny unafuu sio lazima bando za usiku zantel wako vizur hat halotel ila kam unatak mtandao utaotumia huku unanungunika kila siku bas tumi ttcl utakuja kuleta mrejesho hapa mimi natumia san netflix kucheki movies...
Kaka TTCL bado hawajajipanga haeajui nini wanatak ukitak kujua mtiti mwinhin mtumie mtu mesej kwa ttcl utakuj kuniambia mesej moja ina fail kila saa utarudia had mara tano siwez kutumia ttcl hata wafany mb rahis kias gan siwez kuwa mzalendo uku najiumiza zantel ni jibu la matatiz yote nilichelew...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.