Kwanza elimu....halafu hii miradi hatuambiwi kwamba ni kodi yako.. Utasikia mfano treni ya mwakyembe khaa uwanja wa Moapa....kwa hio hakuna mwenye kuthamini
Leo nimeliona...mmmm hakuna wavukaji labda siku ya mpira watakaotoka kirumba.....
Nimeona n.a. double road ya airport...
Ila double road ya tengeru to Arusha mmmmmmmm nzuri
Mhhhh maajabu Mimi nilikuja kahama 2002 nilikuta kama hizo container zikisafirishwa kwa escort ya ffu gari tatu means moja Mbele nyingine Kati na nyingine.....
ilikuwa yanakaa Kati ya njia tulikuwa tunalazimishwa kupaki pembeni ili yapite...
Tunatakiwa wataalamu wakae Chini wafikiri Nini cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.