Nihatari sana pale wahusika waliopewa majukumu kikatba kulinda usalama wa mali na raia wa tanzania ndani ya nchi wanapojigeuza na kuwa vibaka na majambazi .Ni aibu na fedhea sana kwa sisi watanzania
Ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kukiuka kanuni za fedha kwa makusudi kabisa kwa kuwa kiwanja cha ndege kinajengwa kwa aliyekuwa mkubwa wa nchi.Chondechonde viiongozi wetu tuondokane na tabia hii ya kinafiki ya kujipendekeza kwa watawala mpaka kupelekea kutozingatia sheria na kanuni mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.