Kipindi sahihi cha kufanya hii economic coalition ilipaswa kuwa enzi jumuiya inaundwa na nchi tatu. ( Kenya, Tanzania na Uganda).
Then nchi nyingine zikiomba uwanachama, wao wafit katika misingi iliyowekwa. Kama ilishindikana kuwa na soko huria pamoja na common currency kipindi icho, sitegemei...
Uzuri intention to award ikitoka, huwa ina toa room kwa washiriki kulalamika. Its better ukafuata hizo hatua. Japo kitendo cha kusema pia unataarifa za ndani kinaweza kukutia hatiani kwamba unajihusisha na rushwa.
Nenda nao taratibu na kwa akili.
Pole sana tajiri....inawezekana the lowest bidder bado akawa ame exceed budget ya taasisi husika na kupelekea kutangazwa upya. Na kama ilikuwa ni invitation ya watu kumi, wanaweza waka extend idadi ya wazabuni kuwa wengi zaidi kwenye re-advert ili kupata ushindani mkubwa zaidi.
Kati ya wavunge wanaofanya vizuri zaidi hapa mjini. Wa kigamboni ni mmoja wao. Changamoto iko kwa serikali.
Mfumo wa uendeshaji wa vivuko hauko efficient. Tamesa wameshindwa kabisa kama walivyoshindwa DART kwenye mwendo kasi au tanesco kwenye umeme.
Serikali haiwezi kufanya biashara, huo ndo...
Huwezi kuelewa impact ya ai kwenye uchumi kama unaitumia kutengeneza vikaragosi na kuvupost online kijana. Nakupa mofano michache.
Kuna mamia ya vijana waliokuwa wanahudumu katika call centers za makampuni makubwa wamepoteza Ajira. Na effect itakuwa kubwa zaidi endapo makampuni mengi yata adopt...
Aliepungukiwa ni kanisa kwa kumpiteza kondoo wake wala marehemu hana haja nao. Imeandikwa, mchunga kondoo mwenye kundoo kumi, akimpoteza mmoja, ataawacha wale tisa na kumtafuta yule aliepotea mpaka ampate. Akipatikana atamkumbatia na kumrejesha kundini na wenzie.
Soma maandiko tajiri. Achana na...
Sio wine tu, zipo de-acloholised beer na de-alcoholised Vodka.
Shoppers wanazo. Heinken beer isiyo na kilevi wanauza 8000. Same kwa corona beer bila kilevi.
Wine pia zipo nyingi sana ambazo hazina kilevi.
Mzee hana kazi kwa miaka 14, anabaki nyumbani bila kujishughulisha kwa miaka yote hiyo?
Kuna tatizo mahali. Alishindwa hata kufuga kuku aisee ...huko kazini walikuwa na haki ya kumtimua sio siri.
Kudeal na mfugaji hasa wamang'ati kwa njia ya mahakama ni ngumu sana. Hata mahakama ikihukumu ulipwe fidia, ni ngumu sana kuipata toka kwa jamii ya kifugaji. Pole sana hawa jamaa ni wasumbufu sana.
Ukiona unazidiwa, mwaga mboga na wewe. Weka sumu tu au paka asali kwenye majani ng'ombe wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.