Hakuna Cha tafiti ni wajinga ndio walikuwa wanaulizwa.
Kwani wewe unaona haya yanayoelezwa hapa ni uongo? ππ
https://www.instagram.com/reel/C6GjZo7szsk/?igsh=bm1lY2RuN3JmNGFx
Ukweli upi Sasa? π€£π€£ Mbona mnalazimisha mliyoshindwa? ππππ
Nimekueleza Samia kawapelekea umeme,kawanunulia mtambo wa Utafiti,kawajengea soko la Madini na kawapelekea Huduma za ugani wa Madini za GST kule Chunya.
On top of that kawapa eneo na amewarihusu wachimbe Hadi kwenye vitalu ambavyo Watu...
Mwendazake hana huo ubavu wa ku deal na maisha ya watu yeye alikuwa busy na Sgr,bwawa na mambo kama hayo ambayo hayana maana Kwa maisha ya individuals wa huko Chunya,Katavi and the likes.
Mali ipi imeuzwa na Kwa bei gani? Hata Mkapa mlisema ameuza Mali ya Nchi ila ndio hizo Bado zipo π€£π€£
Niwaonee huruma Kwa sababu zipi? Wewe huko kwenu Chunya kazi ya mama hujaona? Au unajibalaguza hapa?
Ona Chunya ilivyokuza Mapato ya ndani chini ya Uongozi wa mama hapa ππ
https://www.instagram.com/p/C5iCLtKNKkU/?igsh=eHhqMGVtczBtanM1
Unajua sababu? Mama amegawia mtambo wa kutafuta Madini...
Kiwanda Cha fresh juice,Kuna Kingine Cha Samaki za kusindika kinatarajia kuanza kuuza soko la Ulaya Kiko Mazwi kule.
Harafu anatokea mpumbavu mmja na wafuasi wake anaongea shit kumhusu Samia ,kama ni masuala yenu ya udini,jinsia,siasa majitaka na ukabila sawa endeleeni ila kwenye delivery...
Sasa ipo hivyo Nchi nzima sio tuu hapo Rukwa ni Kila Mkoa.
Unakujua Kalambo? Sasa kule Vijijini watu tunafika kununua mazao sehemu zilikiwa hazifiki,nilipiga picha Kijiji Kimoja kule mto Kalambo ,ona daraja walilojenga
Mimi na Biashara zangu za mazao saizi tuna uhakika wa kuuza Kwa NMC maana Serikali ya mama inanunua na pesa tunapata sio kama awamu ya Magufuli ππ
Wasimulieni wajinga wenzenu kwamba Hali ya Uchumi wa mama ni mbaya kuliko Kwa Magufuli π€£π€£
Mimi Rukwa ni Mwenyeji na nakuja sana huko Kwa shughuli zangu ni Mkoa naujua woote kuanzia alipoachia Magu Hadi Sasa.
Investments zimefunguliwa na Samia kama zote.
Nenda Ile Barabara ya Majumba 6 nyuma ya kiwanda Cha Energy kaone nini linajengwa pale.
Nenda Barabara ya Kasisiwe kaone nini...
Huoni humu mnavyopapadika Kwa maneno wakati Mimi naweka takwimu,picha na video.
Wakati Magufuli anasingizia Sgr,bwawa and the likes Samia anajanga hayo yote bila visingizio na mengine meeeeengi ikiwemo maelfu ya Ajira Kwa Vijana ambao Magufuli alishindwa Kuajiri πππ
Ndio maana nakwambia kwani wewe ukisema Magufuli ndio better itaondoa ukweli kwamba kule Rukwa
-Samia amefungua Barabara Vijijini ambavyo vilikuwa havina mawasiliano?
-Kwani itaondoa ukweli kwamba Samia anajenga uwanja wa ndege wa Sumbawanga
-Kwani itaondoa ukweli kwamba Samia anajenga Barabara...
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?
Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida π€£π€£
Takwimu za uhalisia hizi hapa π
Ndio Mimi ni mwerevu maana nafanya judgement Kwa hoja, takwimu na uhalisia sio moyo.
Narudia kukwambia Samia amemzidi Magufuli mbali sana,bila kujalisha wajinga wengi wanasemaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.