Wenye mamlaka ni vyema sasa mkatoka hadharani kutolea ufafanuzi hali ya usafiri katika kituo hiki cha KIBO.
Mara nyingi nyakati za asubuhi kuanzia saa 11 Hadi saa moja na nusu basi hazisimami kabisa kupakia abiria kwenye kituo hiki, nyingi zinakuja zimeshajaa na hazisimami.
Je kama mmeona kuna...
Habari wakuu. Nawatakia nyote kheri ya mwaka mpya.
Mimi ninahitaji chumba self maeneo ya Kimara , liwe eneo la karibu na barabara, kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi. Nipo tiyari kulipia kodi kwa miezi mitatu ya mwanzo.
Mwenye nacho naomba tuwasiliane.
Asante
Habari ya asubuhi waungwana.
Ninapenda kumnunulia mchumba wangu wa kike zawadi kidogo kwa kutambua thamani yake kwangu, kwa uwezo wangu mdogo wa bajeti ya kuanzia shilingi 10,000 --- 50,000 ningependa kununua zawadi ya thamani hiyo.
Nitashukuru kupata mapendekezo ya aina nzuri ya zawadi...
Habari wakuu
Kwa wale watumiaji wa E-wallets haswa Skrill , ninaona wameongeza huduma ya kutoa pesa kwenda Mobile money!
Nimejaribu kuangalia makato (Fee) yake kwa kupitia Airtel money naona kama charges zipo juu sana. Vipi ni njia gani nafuu mnazotumia ndugu zangu?
Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow).
Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini.
Bado Serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza ...
Habari wadau.
Huwa ninafanya deposit kwenye Skrill wallet kwa kutumia Equity bank.
Lakini huwa ninapata changamoto na usumbufu wa ku withdraw kupitia equity bank , hata hivyo makato huwa siyo rafiki sana. .
Naomba muongozo namna gani ninaweza kufanya withdrawal kwenye platforms zenye...
Habari wadau
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji turubali ngumu kama zile zinazofunikia mizigo katika malori makubwa , sihitaji mpya ila itakayopatikana iwe nzima isivuje, hata kama itakuwa ina michoro , picha au matangazo ilimradi iwe ngumu .
Mwenye nayo tafadhali tuwasiliane PM
Hayo yamesemwa na waziri wa habari Mh Innocent Bashungwa wakati kamati ya bunge ilipotembelea ofisi za TBC leo.
Waziri Bashungwa tiyari ameshatoa maelekezo suala la visimbuzi vya TBC vianze kupatikana pia ameagiza suala la hati miliki la kurusha michezo mbalimbali lifanyiwe kazi haraka.
chanzo...
Habari wadau.
Ni takriban week moja hivi Signal za receiver ya Azam kwa mimi ninayetumia Dishi signal zimekuwa za kubahatisha sana, mara zilete scratch mara zizime zisisome kabisa! Yani ni taabu tupu.
Vipi wenzangu nyie mnaotumia dish hii hali haijawakuta?
Wadau kwema?
Nipo mbele yenu kuomba kufahamishwa kuhusiana na huyu kijana ambaye nina wasiwasi ameanza kujiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya ambayo ni bangi.
Cha kwanza.
Kijana kampani yake asilimia 70 nimehakikisha wanatumia bangi.
Cha pili.
Huyu kijana anakula kama mchwa, yani ni...
Habari wakuu .
Nimepata changamoto ya kuhamisha fedha kutoka Skrill kwenda Visacard ya bank ya Equity. Transaction was failed!
Na nilipowauliza ndio wakaniambia bank husika haisapoti Original Credit Transaction (OCT).
Naomba kujuzwa bank zinazosapoti hii huduma ya kupokea hela kutoka...
Habari wakuu.
Naomba kufaham bank ambayo inakubali kupokea miamala kutoka Skrill.
Naomba kufahamu na rates au makato yao kwa muamala yapoje , pia na monthly charges.
Habari wakubwa
Katika harakati za Ujenzi naomba kufahamu kwa wajuzi na wazoefu katika hatua hii ya skimming kwenye Jengo ukuta wa nje.
Kimsingi ningependa kufahamu skimming ipi ni bora na imara bila kujali gharama kati ya inayofanyika kwa kutumia cement ya kawaida na ile white cement...
Katika sekta ya utalii nchini ambayo Rais Magufuli amesema itarejesha huduma zote wiki ijayo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amebainisha kuwa tayari baadhi ya watalii wameshaanza kuingia nchini.
House Speaker Nancy Pelosi on Wednesday called the decision for President Donald Trump's name to appear on stimulus checks amid the coronavirus pandemic "shameful."
The President's name will appear on checks sent to Americans to combat economic fallout from the spread of the disease in a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.