Mimi ni kijana wa kiume
Umri miaka 28
Dini mkristo
Rangi mweusi
Natafuta mchumba wa kike ambaye ikimpendeza Mungu atakuwa mke
Sifa awe kuanzia miaka 24-27
Dini mkristo
Awe mchakalikaji maisha kusaidiana
Dm zaidi
Hongera sana kwa kuhitimu
Kwanzai inabidi ujue suala la ajira kwa sasa lipo vipi,ukifahamu hilo tafuta hospitali iliyo karibu nawe na uweze kujitolea huku ukipata uzoefu zaidi.
Leseni kutoka haina muda maalum na kwa kuwa bado matokeo hayajatoka kuwa na subra yakitoka ufanye mtihani wake ndiyo...
Mtoa mada alitaka kujua kama akihitaji kufundisha diploma na ana degree huko kwingine labda ni kuongezea maelezo lkn nimemjibu kulingana na swali lake alivyouliza
Kama una bachelor degree ya fani husika kasome pia teaching methodology ndiyo utapata kuweza kufundisha katika hivyo vyuo au ukapata ajira kama Mwalimu.
Hisia za mwanamke ni za kweli kabisa.
Maumivu aliyokupatia mwanzo kwa kukuacha solemba ilikuwa funzo kwako lkn ukafanya kosa.
Usiwe na huruma kwa mpenzi wako wa zamani alikutenda ukahisi atakuja kuwa kama mwanzo
Siku zote anaeondoka kwako na kukuacha si yule atakaerudi tena kwako na kwamba...
Unazingua kinyama yaani.
Chuki zako unaleta uzi hapa.kama uliondoka kwa kufanya mabaya ukapewa adhabu basi jifunze na si kuanza ongea uongo ambao haupo. Unadhani ni ww tu ambae unayajua hayo maeneo zaidi ya wengine hadi kujifanya umewajua saana kuliko wengine?? Unaweza anza upya tafiti zako...
Mr pascal huwa hukubali haraka sana kila jambo na huwa hupendi kuwa wazi sana yaani kuonesha hisia zako juu ya kitu fulani lkn ukweli huwa unao wewe mwenyewe.lkn huwa nakuelewa sna.
Sent using Jamii Forums mobile app
calculate dunia inazunguka yenyewe nyuzi moja kwa dakika ngapi kwa nyuzi 360 na nyuz moja sawa na makadirio ya km ngapi ili ujue je ni kweli dunia iko speed kuliko ndege au laah
Mm hesabu nilifeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine ni imani hivyo baki na unakiamini ww na usieneze ujinga wako kwa welevu wanaoelewa nn kinachoendelea.
Kuroga kukikushinda usubiri tu radi Zikurudie
Sent using Jamii Forums mobile app
Fahamu kwamba vyombo vinavyotumwa nje ya dunia huongozwa na wataalamu waliopo duniani pia na huwa wanajua mwenendo wa hicho chombo kwa kila hatua . kama wanaweza kuifikia hiyo sayari ambayo mwanzo hawakuwahi kufika na wakaipata na galaxy ni kubwa sana je watashindwa kurudi pale pale walipotoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.