9 years later....Kijana Usikubali kukata/Kukatishwa tamaa wish some of you guys c’ld see me today...Nilipoandika kuna walionoshauri vizuri ila wako walio jaribu kutoa kebehi but The Sky is not the limit while people are walking/workin on space/mars
Mtoa mada naheshimu mawazo yako lakini tatizo langu watu wengi sjui kwa nini hapa jf mefanya swhemu ya kupinguzia stress zenu za maisha,hakuna mtu ambae anaeza teuliwa bila vigezo maalum hata akiwa wa dini fulani mi nadhani kabla ya kusema fikiri
Ndugu zangu jf natumai sote wazima nimekuja humu leo ku share mawazo nanyi.Leo nilikua na tazama BUNGE Nikamsikia mh moja akasema"Kuna WaBunge humu ndani mnapata mimba zisizo tarajiwa mbona hatusemi au mnataka tuwataje?Itafikia siku tutawataja hadharani" Sasa nikakajiuliza hivi who's worked...
Ahh watanzania wenzangu na dhani tuna matatizo makubwa ya upeo wa kufikiri...Hivi inakuaje wewe unalazimisha mtu fulani ndo akamatwe kwa kosa la mauwaji?hebu kabla hujandika upumbavu fikiri coz watu wengi wana pita humu kusoma maoni tofauti..Police wana kazi na taratibu zao na dhani kama ungekua...
1.Unaelewa maana ya Deplomasia?
2.Wewe kama mtanzania umeifanyia nini nchi yako
3.Tunaelekea kwenye EAC..ni vizuri tushauriane mambo ya msingi sasa wewe una lalamika barabara kuitwa jina la mzee moi hivi kipi bora kuwa na barabara au kutokua nayo?mi nadhan tusipende kulalamika sana vitu vingine...
Hahahaha sasa jamani hata hili nalo mnatoleana maneno mazito?kweli Tanzania asili yetu maneno tuuu!!!wake up people's huu so mda wa kulalama juu ya majina ya barabara nchi ipo kwenye cross road wewe unawaza jina la bara bara..una hoji mzee kibaki kaifanyia nini Tanzanian ?wew umeifanyia nini...
Jamani hii mada meelewaje wenzangu ,Tusiwe na jazba na ubaguzi...Hebu tujiangalie sote wewe mtanzania unae lalama mno hivi nchi yako wewe umeifanyia nini?Mageuzi yenye mantinki ni muhimu kwa mataifa haya yanayo endelea Tanzania inahitaji kiongozi imara na hatutachagua mtu kwa sababu ya dini au...
Bwana Fundi tumekupata...Unacho kilala mikia ni nini hasa?Kama ni swala la usumbufu wa mafao hilo lina mantiki ila swala la magorofa na daraja sijakuelewa.nadhan umesoma shule na neno investment unalielewa na malengo yake ,ni kupe kido Hayo ma gorofa yana nufaisha mchangiaji ki uchumi kwa...
Naomba ni wakumbushe kitu kidogo Moja ya vitu vilivochangia Genocide Rwanda Ni Vyombo vya habari Hususan Watangazaji wa Redio.Maana yake ni Kama Kuna Watangazaji Ambao hawajui kuchuja mambo na kusema yale tu ambayo wanapaswa kusema Utangazaji style hiyo ni hatari...Jamani Siolazima kila kitu...
Jamani wana jf nimesoma maoni yenu yote kwa ujumla Nadhan tuna experience tofauti tofauti kwa wale mlojitoa NSSF na kudai haki zenu poleni kwa ma usumbufu..Ki msingi vijana wenzangu Najue wengi wetu hatuja elimishwa vya kutosha kuhusu Maana hasa ya Social Security..Lengo na madhumuni ni kwa...
Kama raisi anapaswa kuzungumzia swala lolote linalo gusa nchi,Jamani watanzania kujifanya mnaleta siasa na udini pasipo stahili kutagharimu kila mtu?uwe shekh ,padri,mumini au yeyote...Dini ya kislam kuchinja ni Ibada kwa msojua ikiwa kama sikuzote waislam wamechinja na sasa wa cristo mnataka...
Meen acha kua mkali u don't need to insult any one ppl hear a just expressing there views...n you don't need to bragg wht madam Dr deed wote tunaju na kumbuka yeye pia kafundishwa na watu wengine ambao wengi kawazidi ki heshima,uchumi na mengineyo ulo taja but so WHAT?tuna kina kama yeye chungu...
Mshazoa ule msemo kua kufukuzwa kazi serikalini ni vigumu mpaka vikao,sijui upewe onyo ,safari hii hakuna ,kama baba zenu au wajomba zenu wezi watatimuliwa tu tushachoka sisi..mnapelekwa shule marekani na kodi za wakulima,mnaendesha ma lexus na kodi zetu mtatutambua mwaka huu.Viva...
Mimi binafsi nashangazwa sana na hawa baadhi ya waislam wenzangu inakuaje nyie bakwata mnapenda kutumiwa na serikali ?any way si shangai sana coz Bakwata na CCm ni ndugu wa baba tofauti..lakini ndigu zangu hili sio swala la Udini au Shekh kasema Au Askofu coz viongozi wenyewe wahusika walishatoa...
Jamani twendeni hivi hivi mpaka tuikombowe nchi hii tukitoka mtwara mapambano yanahamia kwa kila mwizi wa nchii ambae yupo serikalini kupambana nae tusije tukaishia njiani hawa jamaa wana supriz nyingine so the only way ya kuwamaliza ni kuwashambulia mpaka kieleweke
Ndugu wa JF hivi ni kweli kabisa hizi rushwa za hapa bandarini nazo mpaka wahusika waletewe majina au tuelewe wasimamiaji wa hizi sehemu nyete nanyi wezi?haiwezekani mtu anakudai hongo bila hata woga,mpaka walinzi wa mlangoni gate no 2 hatari tupu,Tanzanian tunajitia aibu watu wanakuja kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.