TANGAZO MAALUM
Nawapa pole kwa usumbufu wowote uliojitokeza na kusabanisha taharuki miongoni mwa marafiki wa Dr Tulia.
Hivyo tunawambia kuwa baada ya kutafakari kitendo alichokifanya ndg Shaban Nyamhanga,uongozi wa Taifa unamuondoa katka nafas ya uewenyekiti wa mkoa wa Shinyanga kuanzia leo...
Nawasalimia ndugu zangu katika ukweli na ukuu wa mwafrika!
Hivi kwanini mafukara na wasioelimika kwa kiasi kikubwa wanaonekana kuathiriwa na dini hizi za kigeni, Ukiristo na Uislam? Kuna tatizo gani katika makundi haya?
Ni ajabu waafrika tumehadithiwa hadithi zisizo na uthibitisho si wa...
Maafisa wa usalama nchini Msumbiji, wamewauwa waasi karibu 50 katika siku za hivi karibuni katika eneo la Cabo Delgado Kaskazini mwa nchi hiyo, eneo ambalo limeendelea kukumbwa na machafuko kwa miaka kadhaa sasa.
Tangu mwaka 2017, makundi ya waasi yaliyojuihami kwa silaha, yamekuwa yakitekeleza...
Na Bollen Ngetti
HIVI wana CCM wenzangu hebu tujitenge na unafiki na woga wa kijinga then tuwajadili hawa wabunge wetu hususan wale wa kundi la "Inzile". Tusiogope kuchangia, tuongozwe na ukweli ndio kuwasaidia wala tusijadili chumbani!
Hivi, kuna sababu yoyote ya wabunge wetu hawa kukasirika...
Habari wakuu,
Sasa hivi kumekuwa na idadi kubwa ya matukio ya watoto wenye umri wa miaka 2-4 kupotea. Mara nyingi wazazi au walezi ndio hubebeshwa mzigo huu wa lawama kwa kutokua makini na waangalifu kwa watoto wao.
Baadhi ya watoto hupatikana wakiwa hai na salama huku wengine hupatikana...
Habari za wakati wakuu.
Ngoja twende moja kwa moja kwenye mada yetu.
Imekua ni utaratibu wa kawaida kwa wanandoa kuvishana Pete kidoleni wakati wa kufunga ndoa kanisani.Ikimaanisha kula yamini yakutoachana mpaka hapo kifo kitakapo watenganisha.
Kuna baadhi ya watu hudaikwamba "mapenzi hayapo...
Leo nimefikiria sana kuhusu hali ya kisiasa nchini Burundi ambapo mgogoro umeendelea kudumu bila kupatiwa utatuzi wowote, ijapokuwa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin William Mkapa anajitahidi kupatanisha pande zinazo pingana (chama tawala na wapinzani).Licha ya jitihada zinazofanywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.