Huyo dada mchochezi tu kaongea kwa hisia na ameshindwa kutaja ni mradi gan ameacha hayati J.P.M umesimama ? Lakin pia suala la wanawake kuchoka na kubeba watoto wawili uku wanauza tissue si suala la Raisi kwan hata huko Marekani kuna watu wanalala nje kwa ugumu wa maisha so we dada tuliza...
Bandiko zuri lakin najua watakuja wenzetu WATZ kusema kua wao wakale wapi ' Na bandikk kama hili huwezi kupata wachangiaji wengi badala yake wewe ndo utaonekana mbaya kwahyo Mkuuu ni kitulia na kuacha mambo yaende kama watu wanavyo taka
Da! aisee huyo afisa ni mshamba sana kwanza hana maadili ya kaz nashauri afukuzwe kazi mara moja kwa kuingilia majukumu ya polisi na kutishia maisha ya dereva ova.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.