KWA HUDUMA BORA YA MASUALA YA GAMES,KARIBU SANA SKYGAMES 0710701361
TUNACHIP NA KUWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 NA PS2.PIA KUNA PC NA XBOX GAMES NYINGI SANA ZA KUTOSHA.
FIFA14 PATCH 24 OFFICIAL KWA PC NA
PES 17 PATCH 24 KWA AJILI YA PC INAPATIKANA, 4GB RAM, 2GHZ PROCESSOR🔥🔥🔥
PIA PES 24 YA PS4 ZA...
TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC XBOX GAMES 0710701361
FIFA14 PATCH 24 OFFICIAL KWA PC INAPATIKANA🔥🔥🔥
INAHITAJI RAM 4GB NA PROCESSOR KUANZIA 2...GHZ
PES 17 PATCH 24 KWA AJILI YA PC INAPATIKANA 🔥🔥🔥
PC INATAKIWA KUWA NA 4GB RAM PROCESSOR ANGALAU YA 2...GHZ ,60GB STORAGE.
PIA PES 24 YA PS4 ZA...
Ni muziki wa kati ya miaka 2000 hadi 2010 hivi.
Nazitafuta albums z wasanii hawa chini hasa albums zao z kwanza kabisa
1.RAY C
2.Q-CHIEF
3.BANANA ZORRO
4.LADY JAYDEE
5.MB DOGGY ILE YA MAPENZI KITU GANI NZIMA
6.MR NICE ZOTE
HATA KAMA UNAZO ZINGINE ZA ZAMANI SIO MBAYA UKA SHARE PIA.
EFOOTBALL/PES24 YA PC INAPATIKANA SASA.NI PATCH COMPLETE NA USAJILI KAMILI KABISA🔥🔥🔥
PIA PES 24 YA PS3 IPO USAJILI KAMILI KABISA🔥🔥🔥
BILA KUSAHAU PES 24 YA PS4 KWA MASHINE ZA KUCHIP V9.00 YENYE SIMBA NA YANGA NDANI,NI YA MOTO🔥🔥🔥
PIA
TUNAWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 PS2 PC PSP 0710701361 🔥🔥🔥...
Ni majira ya asubuh niko kituoni nasubiri daladala(mwana JF pekee nisie na gari) nielekee kwenye mizunguko yangu ya kutafuta riziki.
Mara likafika daladala la kuelekea makumbusho, konda kasema sipakii baada ya kuona wanafunzi wengi pale kituoni. Kaenda mbele kapakia watu wazima kasepa.
Hali ni...
PATA FIFA 14 PATCH 23 🔥 🔥 🔥
PES 17 PATCH 23🔥🔥🔥
KWA BEI POA KABISA UNAZIPATA GAMES HIZO KAMA MASHINE YAKO INA 4GB RAM ANGALAU CORE 3i ILA BEST ZAIDI IWE i5.
Pia
TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC PSP 0710701361 🔥🔥🔥
TUNAFIKA ULIPO KWA DAR NA PWANI 0710701361📞🔥🔥🔥
KWA PS4 NI 15000 KWA GAME KWA...
Leo ni mara ya nne nakisiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Liliana Mwasha na Masanja Mkandamizaji. Nimeikubali sana Chemistry yao na namna wanavyoendesha kipindi chao.Hakika ni mapinduzi makubwa mno, abarikiwe sana alieifikiria Chemistry ya hawa host.
Leo walikuwa na wageni waalikwa Christina...
Kutokana na mabadiriko ya sayansi na teknolojia kumekuwa na muingiliano mkubwa wa bidhaa mbali mbali.
Zipo bidhaa ambazo ni bora na ni original lakini pia zipo ambazo ni feki na bado unaweza kuuziwa kwa bei ile ile ya original.
Pia kuna bidhaa ambazo ni brand maarufu duniani lakini kuna feki...
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya
i)Je, yule mdada mwenye mimba aliekuwa kwenye gari na kakake wakienda kwa mchumba wa yule dada, je waliingia mle kwenye yale majani...
Husika na kichwa cha Habari hapo juu,naombeni kujuzwa kuhusu hizi sarafu je zina thamani gani, ni za wapi na nitazitumia wapi.
Kwa atakaesaidia tutagawana pasu kwa pasu ninazo kama 30 hivi
Ndege ya abiria imeanguka baharini baada ya kukosa barabara ya ndege katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Chuuk International huko Micronesiam kulingana na maafisa wa uwanja huo wa ndege.
Ndege hiyo kutoka kampuni ya ndege ya Air Niugini kutoka taifa la Papua New Guinea ilionekana ndani ya...
Kupitia chanzo cha habari makini kabisa(Watu wa karibu) inasemekana timu hiyo ya rockstar hali sio shwari kabisa.Kuna mvurugano mkubwa mno tangu kipindi kile Baraka anatoka.
Inasemekana hivi sasa wasanii wengi wameona kuna ubabaishaji mkubwa na kuisusa lebo hii.Chanzo kikubwa kuna msanii mmoja...
Habari zenu ndugu mko poa?Naomba kuulizia kama kuna mtu anaweza nisaidia wapi nitapata kioo cha macbook pro retina inchi 13???
Naomba msaada tafadhari kwa hili
Chuki,wivu na kutokubali kushindwa kunaelekea kuliangamiza taifa hili kimuziki.Sasa kazi mbovu kabisa zinapewa promo kiasi cha kuharibu jina na muziki wa Tanzania.
Hivi sasa tumefikia hatua ya kuendekeza ushindani usiokuwa na tija katika muziki wetu wa Tanzania.Wenzetu wanafanya ushindani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.