Mhariri amenitumia tena maoni yake. Nimemshauri ajiunge na forum hii, ili iwe rahisi kwake kuwasiliana na wasomaji wake. Hata hivyo, ameniomba niseme haya: ndugu yangu, ninasoma maoni ya watu hapa. Ukweli nimefurahi sana kwa michango yangu. Kama Mhariri wa gazeti ni haki yangu na wajibu kuwapa...
Tuhuma hizo ni nzito. Ninawafahamu wahariri wote wa Tanzania Daima na hasa huyo wa habari. Nimelazimika kumpigia na kuongea naye. Kwa bahati mbaya, hajajiunga katika jukwaa hili. Alichosema ni hiki: nanukuu_ "NDUGU YANGU ASANTE KWA TAARIFA. NI KWELI NIMEPIGIWA SIMU NA MTU HUYO, NA MAZUNGUMZO...
ashangedere awe mkweli ama muongo mie sijui. Ila kisa chake kinawapata wengi hata mie nilifikwa na hali hiyo. Ni kama ameniwakilisha. Kilichonisaidia kurudi ktk upendo ni mtaalamu mmoja na katunga kitabu kiitwacho Ndoa yangu ningejua, nilipokisoma kilinichoma sana. Kitafute na ukimtaka sema...
mtoa mada ameweka shida yake hapa jamvini ili tumpe ushauri na maoni yetu, ninachoshindwa kuelewa, ni kwa nini badala ya kumsadiia tunajibu kwa namna ya kudhihaki?
Ninaungana na wengi waliosema kuwa suala la ndoa ni mtambuka kwa maana kwamba wengi hawajui. Wengine hudhani ndoa umuhimu wake ni...
dada yangu unluky, pole sana na pia washukuru sana wale wote waliochangia mjadala huu. nikwambie ukweli, kama baadhi yao walivyosema, wewe pia umechangia kwa namna moja ama nyingine tabia ya mumeo. Ukitaka kujua zaidi, nakushauri tafuta kitabu kimoja kinaitwa NDOA YANGU, NINGEJUA kitakupa majibu...
wiki hii nimesoma kitabu maarufu sana kwa sasa, kiitwacho NDOA YANGU, NINGEJUA. Nimekipenda sana kwa sababu kinaeleza kwa kinagaubaga kwa nini ndoa nyingi hazina amani. Kwa kweli kimenigusa kwa sababu kuna sehemu mtunzi ameeleza historia ya ndoa yangu utadhani ananijua, na hasa zaidi maswali...
tafuta kitabu fulani ambacho naamini kitakusaidia sana kufanya uamuzi mzuri. Kinaitwa NDOA YANGU, NINGEJUA, sijui uko wapi lakini naamini kinapatikana sana katika maduka ya vitabu kote nchini. Maana huyo mtunzi amechambua kwa kina namna ya kumpata mtu makini na ambaye mtaishi naye kwa amani...
wale wote wanaosema kuwa ni vema kuonjana kwanza wana mawazp finyu, sijui dada yako naye akifanyiwa hivyo alafu aache utajisikiaje? JIBU la msingi kabisa, ni kwamba kwa mujibu wa sheria za ndoa za kanisa katoliki, ndoa inaweza kuvunjwa (wanatangaza kwamba ni ndoa batili- ) kwa sababu nyingi za...
waungwana tunapochangia, tusibeze imani za watu kwa kosa la mmoja. Mimi ni Mkristo, lakini naheshimu sana imani za wengine kwa kuwa ndio uungwana. Changia ubaya ama dosari za kikwete na sio kuingiza imani yake kuifanya iwe mbaya kama unavyodhani mhusika ni mbaya
hata masaburi hana lolote! kafilisi mradi wa mabasi ya wanafunzi wa dar es salaam yaliyokuwa chini ya umoja wa vijana. Kabla yake mradi ulikuwa unaendelea vyema, alipokuja ukafa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.