Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye...
Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa namwambia, kwa assesment ambayo nimefanya inaonesha 90% ya mabinti wa kibongo wana changamoto nyingi za kiuchumi..
So ni bora ukamatie mmoja, umsovie mahitaji yake umpunguzie dhiki kisha utulie naye.
Katika kukabiliana na hilo embu wadau tupambanue, unapambana...
Miradi hii ni ya gharama kubwa na utekelezaji wake huchukua miaka mingi.
Ni maoni yangu kuwa, sambamba na ujenzi wa bwawa la mwal Nyerere, serikali ingeanza kutafuta fedha za kujenga njia kuu ya kusafirishia umeme itakayopita magharibi mwa nchi hasa katika mikoa ya Lindi, Ruvuma, Njombe, Mbeya...
Maana kulijitokeza malalamiko ya gharama kubadilika badilika kama hali ya hewa kwenye uchaguzi uliopita.
Wekeni standardized amount ili wa kudunduliza waanze kudunduliza kiasi kitachotakiwa!
Deregulation of sugar industry will see the economies of scale and market competitiveness transfer relief that results into lower prices to final consumers.
In order to protect local industries, govt have been placing quotas or embargoes to the importation of sugar something that has resulted...
Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini.
Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao...
Sikutegemea kama warning letter ingeweza kumchanganya kiasi hiki mwanasiasa mpendwa eng Haizai Kamwelwe..
Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na hajajenga.
Kwa uinjinia wake huo hata akioneshwa mlango wa kutokea kwani ataweza kukosa tenda za...
Kwa kweli siridhiki kuona kiwanja changu kimekaa kama sambusa.. Natamani kiwe square kama kiwanja cha mpira.
Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa.
Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja...
Kwanza nianze kwa kukupongeza jinsi unavyotimiza wajibu wako wa kuliongoza taifa hili kwa ufanisi mkubwa na wa hali ya juu.
Wewe ni mtu muwazi, unayepokea maoni ila ni kiongozi shupavu asiyeyumbishwa.
Tumeona msimamo wako thabiti kwa mfano katika jitihada zako za kuhakikisha watoto wa kike...
Kanuni ndio hiyo,
Mafanikio yako mtandaoni yanapimwa na mafanikio yako in the real World!
Ukitaka kuwa na accounts kama Youtube insta mategemeo ya kupata watu wengi wa kutembelea pg yako yanaakisiwa na namba ya wanaokutembelea kwako au hata kukucheki kwenye simu.
Mara ya mwisho nanunua saa ya mkononi ilikuwa Tsh elfu 3000. By then ilikuwa saa kali tu.
Sasa siku hizi naona marafiki wananunua saa hadi za laki mbili.
Je, hizo saa za gharama huwa na nini cha ziada?
Kutokana na joto joto la mahaba kuwa juu, wana ndoa wengi walikwenda mbali hadi kufungua akaunt za pamoja katika benkj mbali mbali.
Kwa tathmini yangu akaunt za aina hii nyingi kwa sasa ziko chali.
Wale ambao akaunti zenu bado zinapumua, kujeni hapa mtupe ushuhuda.
Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa.
Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha...
Magufuli has only one year to build a permanent legacy for his service of restoring Zimbabwe back onto its feet. If he manages to do so, he will be credited as ‘the only’ person who has ever been able to restore a brocken country back into its shape, the crown which has only gone to the country...
Metformin has been found to help reduce glucose production in the liver, which is a problem in type 1 diabetes. Two, people often form resistance to the insulin they take, and metformin can help improve insulin sensitivity. And, metformin may support weight loss and protection against heart...
Despite poor relations for last 4years, the governments of Rwanda and Burundi have put aside their differences to bring much needed power to their people.
The two this Monday signed a memorandum of understanding (MoU) together with DR Congo to construct the Rusizi III dam on the common border...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.