Search results

  1. Mikopo Chefuchefu

    Kununua gari yenye 2,000cc ni kupoteza hela!

    Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy. Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye...
  2. Mikopo Chefuchefu

    Changamoto za kupata baby mpya kati kati ya mwezi!

    Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa namwambia, kwa assesment ambayo nimefanya inaonesha 90% ya mabinti wa kibongo wana changamoto nyingi za kiuchumi.. So ni bora ukamatie mmoja, umsovie mahitaji yake umpunguzie dhiki kisha utulie naye. Katika kukabiliana na hilo embu wadau tupambanue, unapambana...
  3. Mikopo Chefuchefu

    Sambamba na ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere, Serikali ianze kutafuta pesa za kujenga njia kuu ya umeme (Backbone)

    Miradi hii ni ya gharama kubwa na utekelezaji wake huchukua miaka mingi. Ni maoni yangu kuwa, sambamba na ujenzi wa bwawa la mwal Nyerere, serikali ingeanza kutafuta fedha za kujenga njia kuu ya kusafirishia umeme itakayopita magharibi mwa nchi hasa katika mikoa ya Lindi, Ruvuma, Njombe, Mbeya...
  4. Mikopo Chefuchefu

    CCM, Tumeshampata Rais, sasa mtuwekee wazi gharama za kuchukua fomu za ubunge na udiwani nchi nzima watu wajipange!

    Maana kulijitokeza malalamiko ya gharama kubadilika badilika kama hali ya hewa kwenye uchaguzi uliopita. Wekeni standardized amount ili wa kudunduliza waanze kudunduliza kiasi kitachotakiwa!
  5. Mikopo Chefuchefu

    Sakata la Sukari: Ni bora viwanda vya ndani vife, mwananchi apone

    Deregulation of sugar industry will see the economies of scale and market competitiveness transfer relief that results into lower prices to final consumers. In order to protect local industries, govt have been placing quotas or embargoes to the importation of sugar something that has resulted...
  6. Mikopo Chefuchefu

    Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja!

    Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao...
  7. Mikopo Chefuchefu

    Dah! Warning Letter imemchanganya sana Eng Haizai Kamwelwe! Kwani hajajenga? Au bado anasomesha?

    Sikutegemea kama warning letter ingeweza kumchanganya kiasi hiki mwanasiasa mpendwa eng Haizai Kamwelwe.. Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na hajajenga. Kwa uinjinia wake huo hata akioneshwa mlango wa kutokea kwani ataweza kukosa tenda za...
  8. Mikopo Chefuchefu

    Ntaipata wapi 'jezi ya CCM- mpya'?

    Hivi hizi jezi zishaingizwa sokoni au bado? Naziona moja moja.. Natafuta kama hizo tatu.. C mnajua 2020 hii?
  9. Mikopo Chefuchefu

    Kiwanja changu kimekaa kama sambusa, ninapanga kumega eneo la jirani kiwe square. Sheria inasemaje kuhusu hili?

    Kwa kweli siridhiki kuona kiwanja changu kimekaa kama sambusa.. Natamani kiwe square kama kiwanja cha mpira. Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa. Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja...
  10. Mikopo Chefuchefu

    Mheshimiwa sana, ikikupendeza mteue Mambosasa kuwa Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji!

    Kwanza nianze kwa kukupongeza jinsi unavyotimiza wajibu wako wa kuliongoza taifa hili kwa ufanisi mkubwa na wa hali ya juu. Wewe ni mtu muwazi, unayepokea maoni ila ni kiongozi shupavu asiyeyumbishwa. Tumeona msimamo wako thabiti kwa mfano katika jitihada zako za kuhakikisha watoto wa kike...
  11. Mikopo Chefuchefu

    Kama idadi ya wanaokutembelea nyumbani kwako ni ndogo, usitegemee kupata traffic kubwa mitandaoni

    Kanuni ndio hiyo, Mafanikio yako mtandaoni yanapimwa na mafanikio yako in the real World! Ukitaka kuwa na accounts kama Youtube insta mategemeo ya kupata watu wengi wa kutembelea pg yako yanaakisiwa na namba ya wanaokutembelea kwako au hata kukucheki kwenye simu.
  12. Mikopo Chefuchefu

    Huwa mnamalizaje pesa kwenye pombe wakati Mbogo inauzwa Tsh 500 na Faru Tsh 600?

    Mbona pombe ni bei nafuu sana? Mnaosema inamaliza hela, huwa inamalizaje?
  13. Mikopo Chefuchefu

    Sijawahi kununua saa inayozidi Tsh elfu 3. Mnaonunua za laki mbili zinakuwa na nini cha zaidi?

    Mara ya mwisho nanunua saa ya mkononi ilikuwa Tsh elfu 3000. By then ilikuwa saa kali tu. Sasa siku hizi naona marafiki wananunua saa hadi za laki mbili. Je, hizo saa za gharama huwa na nini cha ziada?
  14. Mikopo Chefuchefu

    Wana ndoa mliofungua joint account mpaka sasa mna sh ngapi?

    Kutokana na joto joto la mahaba kuwa juu, wana ndoa wengi walikwenda mbali hadi kufungua akaunt za pamoja katika benkj mbali mbali. Kwa tathmini yangu akaunt za aina hii nyingi kwa sasa ziko chali. Wale ambao akaunti zenu bado zinapumua, kujeni hapa mtupe ushuhuda.
  15. Mikopo Chefuchefu

    Heart Breaking News: Fatma Karume Aunga Mkono Juhudi

    Picha 'iliyokabarabatiwa na kuboreshwa' ikimuonesha mwanaharakati Fatuma Karume akiwa ndani ya pamba za chama pendwa!
  16. Mikopo Chefuchefu

    Kuliko kumdisco mwanafunzi wa mwaka wa tatu ni bora kumbeba kwa digrii ya Pass!

    Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa. Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6 basi ni bora mtu kama huyu akabebwa kwa kukopa points za mwaka wa kwanza na wa pili ili kumuwezesha...
  17. Mikopo Chefuchefu

    Hawa nao wanasubiri wakaka wenye magari na mshahara wa six figures waje kuwaoa?

    Mlioolewa, washaurini wadogo zenu. Watazeekea nyumbani...
  18. Mikopo Chefuchefu

    Now that Magufuli is a chair of SADC, what does he have in store for Zimbabwe?

    Magufuli has only one year to build a permanent legacy for his service of restoring Zimbabwe back onto its feet. If he manages to do so, he will be credited as ‘the only’ person who has ever been able to restore a brocken country back into its shape, the crown which has only gone to the country...
  19. Mikopo Chefuchefu

    Dawa ya Metformin yaweza kusaidia 'kuunguza' kitambi na kupunguza unene!

    Metformin has been found to help reduce glucose production in the liver, which is a problem in type 1 diabetes. Two, people often form resistance to the insulin they take, and metformin can help improve insulin sensitivity. And, metformin may support weight loss and protection against heart...
  20. Mikopo Chefuchefu

    Rwanda, Burundi na DRC kujenga bwawa la kuzalisha umeme!

    Despite poor relations for last 4years, the governments of Rwanda and Burundi have put aside their differences to bring much needed power to their people. The two this Monday signed a memorandum of understanding (MoU) together with DR Congo to construct the Rusizi III dam on the common border...
Back
Top Bottom