ha ha ha naona anazidi kwisha tu huyo wa kushoto na yule wa nyuma naona tumbo linazidi kutangulia mwili unamuacha,hawana amani tena siku zao zinahesabika
mwisho wa siku watasema kopesheni nguvu serikali,wamesahau kuwa mtu apewe chake kabla jasho halijakauka?watumishi wanaishi kutegemea mshahara wanategemea nn wanapotoa mshahara nusu au wanadhani watu wote ni mafisadi wana pesa za ziada kuendesha maisha?hii serikali imeoza kabisa,mishahara yenyewe...
kuoa au kuolewa ni kama kutia mkono gizani,yeye asikilize moyo na kichwa chake kinaamuaje,kichwa ndo serikali yako then life goes on no regret ukikosea ndo unajifunza hakuna mwalimu ktk mapenzi na maisha sote bado tunajifunza tuko darasani,tutatoa ushauri hapa ata page 60000 zitafika kumbe...
nchi yenyewe haitambuliki sasa huyo msanii atatambulika vpi?huku majuu ukikutana na mtu ukimwambia unatoka tz ujue lazima utoe na maelezo ila wenzetu kenya kila kona ya dunia wanajulikana,sisi sijui nani alitupiga juju maana hatuna chochote cha kujivunia labda tumtangaze vasco da gama wetu wa 2...
usione soo sema nae mpwa usije kuwa unatengenezea future nzuri wengine ukaja kula kwa macho,take care mkuu kwa wiki mara 1 too much tena unaishi nae mmmmh ngumu sana mnalala mzungu wa nne kila siku?du pole mkuu kama nakuona unavyosikitika ukiwa kitandani unakula kwa macho
nchi yetu imeingiliwa na mdudu gani kila kukicha matukio ya mauaji kila kona mbeya nako watu wanapigwa nondo kila kukicha,jeshi la polisi limekuwa linaripoti mauaji kama wamekuwa maofisa habari na sio walinda usalama wa wanachi na mali zao wao kazi yao kwenda kuwakamata cdm tu wakifanya...
tatizo la magamba wanajiona wako juu ya sheria na hao polisi hawaangalii sheria wanasubiri remote ndo wafanye,nchi za africa hazitaendelea kama hatutofwata sheria,tz mpaka mjumbe wa nyumba kumi anaweza kukutisha na kukuweka mahabusu bila kosa kila kiongozi ni mbabe kwa wanyonge.
jk ni janga la taifa,amekuwa kansa ya damu hafai,habebeki ni kama gunia la misumali na sielewi kwa nn anambeba sana ngereja wamekwenda kukopa china 1 bilioni na huku nyumbani wanalipa dowans 111 bilion hii kweli imekaa njema sio fedha zao hizi wanatuzunguka tu,kama tuna pesa hizo 111 bilioni kwa...
siku za magamba zinakaribia kwisha,huyu PM naona ****** alichemka sana hapa kumchagua sijui nani alimshauri hana mvuto kwa wananchi,muongo kupitiliza,hana maamuzi ktk serikali,yupo yupo tu mradi siku ziende,mwisho wao magamba utakuwa mbaya sana nguvu ya umma iko njiani
tatizo waandishi makanjanja wa bongo wavivu wa kutafuta habari washazoea kucopy na kupaste tu hawafikiliii kabisa wakipata habari ni kucopy hasa hizi blog kila siku zinazaliwa sijui ata inakuaje kila mtu anataka kuwa na blog alf habari ndo hizo hizo tumewachoka blog imekuwa fashion achani uvivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.