Ni aibu sana kuona Cdm ,chama pekee cha upinzani kilichobaki Tz kikiwa hakina agenda yoyote ya kitaifa. Sahv Cdm wamebaki kudandia tu matukio ya hapa na pale. Sie wapigakura tunasubir tu uchaguzi 2020 ili tuwanyooshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Canada haina ukubwa wowote. Acheni porojo nyie. Trump,Theresa May na viongozi wengine Ulaya wako busy kupambana na hali zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu aliyeandika hii thread haeleweki nini haswa anazungumzia. Pia yuko shallow kwenye suala zima la propaganda. Arudi darasani akajifunze.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] kama hao waliouawa ni ndg au rafiki zake,aseme tu. Sio kutuijia na kauli za jumlajumla tena kwa kurejea taarifa za magazetini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ndg. Ni rahisi kujua forum hii inamilikiwa na mtu wa mrengo upi kisiasa. Hvo wala usiumize akili yako kuhusu hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nafurahi kuona namna gani Bavicha wamebinywa kisiasa mpk wamekosa kashfa za kuikosoa govt ya Jpm. Sahv Bavicha wamegeuka watetezi wa maharamia wa kizungu tu. Shame on you fake opposition politicians. Mlizowea kuishi kwa mgongo wa ufichuaji kashfa enzi ya JK.
Sent using Jamii Forums mobile app
TLS is a mere association of SABOTEURS. Good news is that soon it will be dissolved and replaced by board of Lawyers' Ethics.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.