Wewe lini umeshuhudia magufuli akitenda haki makinikia ilikua njama escrow njama na sasa hii ttcl pia ni changa la macho tu tume itaundwa na wezi wataamua watoe shs ngapi haya maigizo tu
Nina uhakika ccm hawatakua madarakani 2020 watakao dhani naota mtakumbuka haya maneno yangu ........ccm pamoja na nguvu la jeshi na polisi still hawata amini kitakachowakuta 2019 this is a fact
Wananchi wanapenda kunyanyaswa ndo maana wacha wafanye wanavotaka sisi ni wapuuzi kupita dunia nzima ndo maana mungu katukusanya tanzania tuteswe huku tunashangilia " a dead nation"
Prostitutes are the politicians can't you see how they kiss ass to keep the position they hold can't you see how they sale their souls to an evil govt?
Nafkiri mda umefika kwanza kila mtu mwenye dhamira ya kweli ya kuindoa ccm madarakani ajipange vzr.mapinduzi hayatoki kwa viongozi true revolution comes from the people the line is drawn its time the force they use is used against them individually hawahawa wa mtaani wakianza kuokotwa na sare...
Eric bennet-- love dont love me
Eric bennet- jorgy porgy
Mobb deep fet lil kim--quite storm
ALFONZO HUNTER -JUST THE WAY my forever favorite song this one
Boyz to men fet fabolous- roll with me etc etc
Viva roma tanzania kuna watu wa aina kadhaa wanaotisha watu,waoga na wanaojipendekeza saana kwa bashite na mkulu mtoa mada jiongeze hapo upo kundilipi.....halafu kuna kundi lingjne linaitwa we want ccm out kwa njia yeyote unaweza ukaja huku
Wameanza kampeni ya uraisi mapema mno hapa unabidi ujiulize saana wanaogopa nini wanajishtukia kwa lipi kwanini watutishe mara libya mara sjui wapi hii nahisi kuna mawili ccm washagundua magufuli hakubaliki hata ndani ya ccm au vijana wanataka sifa mpaka wamekuwa confused .......c wafanye yao...
Walewaliofiwa na tetemeko la katerero waliambiwa mwafwaa hawa wengine wakaambia waziri awe na hyuman face lets call a spade a spade mr president anapeeeenda watu wa chato kawapa airport kuuubwa kuliko hii ya hapa kolomije
Je nani mkweli raisi anasema tunatumia pesa zetu kujenga reli waziri anasema bungeni mubashara madeni tunayokopa kujenga reli na mipango miji who is telling the truth?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.