Naomba mnisaidie nimemaliza diploma ya procurement ktk chuo cha st joseph mwaka 2018 nataka kuendelea ngaz nyingine lakin nashindwa kutokana na taarifa zangu hazipo NACTE na kila ninapo ulizia taarifa zangu pale chuo sipati ushilikiano mzr msaada wenu
Habarini za kazi poleni na miangaiko ya maisha! Naombe msaada kama kunauwezekano wa kusafisha macho yakawa meupe kama watu au kama kuna dawa nijulisheni
Poleni na majukumu ya kazi naomba kuhuliza swali? Nina mke wangu nilie zaa nae mtoto mmoja baada ya kuzaa tulienda kupandikiza kijiti lakin baada ya muda tukaona tunahitaji mtoto wa pili lakini ule muda kupandikiza kijiti bado haujaisha. Je? Naweza kwenda kukitoa ili nipate mtoto kabla ya huo...
Napenda sana niweze kuongea kiingereza lakin tabu inakuja namna ya kuunga maneno ili yalete maana kama kuna mtu anaweza anisaidie maana nakosa fursa nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu poleni na majuku naulizia aliyesoma Bacherol of Community economic development hii course ina hesabu ni hilo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.