Samahani wakuu wa ulinzi !
hivi majeshi yetu yana TEKNOLOJIA ambayo ipo SIRINI sana bila sisi kufahamu ?
kuna video nimeitazama ni ya muda mrefu,
wanajeshi wakipiga mazoezi makali PHYSICAL,wanapita kwenye TOPE,mara chini ya fensi,
lakini je kwa dunia ya BOMU LA NYUKLIA AU BOMU LA ATOMIKI...
habari ndugu katika jamiiforums !
MIMI si MWANAJESHI wala mtu wa usalama wetu ila nimezipata google tu !
kwanza kabisa nikushukuru kwa kutumia muda wako kupitia uzi huu,zifuatazo ni herufi 26 na zitamkwavyo na majeshi ya NATO.lakini pia nimeweka LANGUAGE CODE ya kuziandika kwa usashihi.
hizi...
Ndugu,
Hivi kwanini pakiti ya condom huwa zipo tatu tu? Mimi nimejiuliza nikaona kuwa kiwango cha ku_pees ni mara tatu kwa hali ya kawaida.
Je wewe unafikiri ni kwasababu gani ?
Habari ndugu zangu,
Tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kufahamu chochote kuhusu uchawi, uganga na mizimu ipokuwa nilisoma thread za mshana jr na wengine tu. Sasa huku nilipo naishi kwenye chumba ambacho nimepanga kwa mama mmoja ambaye nilisikia habari zake kuwa ni mchawi sana.
Mama huyu ni daktari...
mimi ni jinsia ya kiume(25)
nipo Tabora nahitaji kujitolea kwa kazi yoyote halali.
mfano.kazi ya teaching English medium school,
computer network,photo shop.
na kazi zingine..
bureeeee kabisa.
Ndugu JF,
Kadri tulivoaminishwa na serikali kuhusu wizi wa ACACIA,
Je hizo trillion zitalipwa au hazitalipwa?
Kama zisipolipwa serikali itawaambia nini wananchi?
Mimi nimeajiriwa kwenye kampuni moja huku Mwanza. Sasa bosi wangu huwa anakuja na mademu wengi wengi tu hapa ofisini. Sasa siku hizi anamgegeda mke wa mjomba wangu, kila siku mke wa mjomba anapokuja mimi najificha kama sikuwepo na hajui kama mimi najua jambo analofanya na bosi wangu. Wakifanyana...
Leo nimetazama kipindi asubuhi.
Yaani JWTZ wana kitengo cha MAGIC, leo nimeina wanatafuna CHUPA, karatasi inakua NJIWA, NJIWA anakuwa PAKA, Pia wamesema wamefundishwa eti si UCHAWI. kumbe hata yale matofali ni hovyo...
TANZANIA YA MAGIC...
Tazameni muone
Ndugu JF,
Kiukweli bila kupindisha ukweli, mimi huwa najiuliza maswali mengi sana juu ya wanawake.
Kumbuka si wote ila wengi wao.
1.Kwanini wanawake wengi hujihusisha na uchawi,
kwa mfano; house girls wengi wa visa na matukio mengi ya kishirikina.
Mfano mwingine hata mitaani tetesi za wachawi...
ndugu jf
naomba kujua nauli ya Tabora to arusha ni shilling ngapi ?
nifahamisheni muda wa safari pia..
je gari zipo na kufanya safari kila siku ?
NB: nipo mbali na maeneo tajwa hivo nisingeuliza huku..
Vodacom wana kifurushi cha SMS bila kikomo kwa siku 30, lakini kumbe hizo SMS zina kikomo cha SMS 5000 tu.
Sasa kwa mantiki hiyo Vodacom wanadanganya wateja wao na mimi nikiwa mmoja wao.
Sasa nifanyeje niwashtaki kwa kunidanganya.
ndugu ...
nimeoa mwaka wa pili sasa ila ninafanya tendo la ndoa kwa dakika zisizozidi tano,nakua nimesha "mwaga"
sasa naona kama ni tatizo
kama kuna msaada wa tiba au dawa nahitaji sana.
kama ni mazoezi ya mwili nafanya tangu nikiwa mdogo sana.
balanced diet ipo.
nipo mwanza...
ndugu zang JF,
Naomba nipate malezo juu ya mambo haya:
1.maana ya fixed account
2.faida zake ni zipi ?
3.je hiyo faida hupatikanaje ?
kwa mifano itakua poa zaidi.
Ndugu katika JF,
Mimi si mtaalamu wa MAMBO ya AURA,meditation,supernatural power n.k
lakini nimesoma thread za hayo mambo.
kuna wakati najiuliza je hizo nguvu za asili na maajabu, ninazo ?
pia nahisi kama nina UWEZO zaidi katika ulimwengu wa ROHO au JICHO LA TATU bila kujitambua.
kwa naomba...
Nawasailimu ndg,JF
kuna kitu najiuliza ila sipati jibu kwa hawa VIJANA waishio mijini.
Unakutana na kijana hana KAZI/AJIRA lakini anamiliki vitu vifuatavyo :
1.viatu (60,000/=
2.t shirt (25,000/=
3.simu (300,000/=
4.mkufu(40,000/=
5.suruali (35,000/=
n.k
halafu eti anasema HANA MTAJI...
je hizo...
natafuta kazi ya halali kwa muda usiozidi week 3.
umri wangu ni 20yrs
jinsia ni ME
Najua ENGLISH
Natumia COMPUTER
Elimu yang kidato cha 4.
NB: natafuta kazi yoyote halali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.