Tukusaidie nini tena wakati umeshajipa majibu mwenyewe, kwamba unampa muda asipobadilika umeshajipa alternatives (imagine unampa deadline wakati hata hujaongea naye, maybe tatizo ni wewe?) tukusaidie nini tena? Ndoa hujengwa kwa hekima na busara...................... Unaweza kujiona mzuri...
Mkianza kuishi mambo mengi yanajitokeza ikiwepo tabia ambazo ulikuwa hujui mwenzako anazo, kuna family issues nyingi zinaingilia kama mambo ya ndugu, mambo ya income nayo kila mtu anakuwa na heka2 ya kutafuta (so expectation ya mmoja kwa mwenzie kama ataweza kumaintain the same income aliyomkuta...
Mh mie napita mana watu wameoverreact sana, looking at this issue in a single perspective. Atleast aelezwe prons and cons za kufanya hayo. I believe she is even more frustrated since these suggestions are subjective
Hapo nimekubali. Watu wanateseka sana kwenye ndoa hawajui kuna evil spirits zinazopenda kuharibu ndoa. Shetani anapenda kuharibu taasisí ya ndoa sababu mungu ameipa utukufu. Hivyo sijui kumsusa au kumkomesha mkeo usidhani ndio solution. Mana unaweza kumwacha na kuoa mwingine akapata spirit kama...
kuna mtu ameuliza mwandosya ana kazi gani mana kweli, mana kuwa waziri asiyekuwa na wizara maalumu does it mean anakuwa kama floor manager kwenye kamati za harusi mana haieleweki anafanya nini, au ndio kupitia kila wizara?? mwe!
obama sio kwamba hawezi kununua hujaelewa, haitaki kuvaa saa ya gharama hizo kuna mambo mengi yanamsubiri kudeal nayo, nchi yake ina economic crisis, usifikiri ni rais wenu watu wanakufa na njaa ye kila siku anapanda ndege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.