Scholarships nyingi kwa uzoefu wangu zinahitaji work experience. Ila pia moja kwa moja bila work experience inawezekana. Unaweza kupata kwa njia nyingine ila uwe na ufaulu mkubwa sana. Unfortunately, scholarships za namna hii sina experience nazo sana kwahiyo siwezi kuwa na msaada mkubwa kwako...
Inategemea Mkuu. Unaweza kucheki list ya programs zote hapa
https://si.se/app/uploads/2017/10/sisgp-eligible-master-programmes-2023_2024.docx-2.pdf
Kama link haifunguki tafadhali nijulishe ili niweze ku-attach pdf doc
Nipo hapa kupokea maswali ya namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha. Karibuni. Nitaelezea kulingana na maarifa niliyojifunza kwa muda mrefu kidogo.
Heshima kwenu Wakuu.
Naam, hii ni fursa ya kubadilishana mawazo hasa kwa wale wenye changamoto za maisha ili ku-share experiences na skills za hapa na pale. Kwahiyo karibu sana na ujisikie huru. Itapendeza iwapo utaelezea kwa undani kidogo changamoto uliyonayo ili iwe rahisi kusaidiwa.
Je...
Wote tuliochangia na kusoma uzi huu endapo matendo yetu yangeakisi hata robo ya huo ustaarabu tunaoutamani hakika Jamii ya KiTanzania ingekuwa mbali sana. Ila utakuwa hata sie tuliochangia hapa tunaroho za gubu hatari!
Mie nimeishi nje ya nchi nikuhakikishie kuwa, ingawa Waafrika hatupishani sana ila WaTanzania tunaunafuu ukilinganisha na Waafrika wengine.
Kwa Afrika, kwa uzoefu wangu nadhani Afrika Mashariki tunajitahidi ukiondoa Wakenya kidogo. Watu wa Afrika Magharibi wakiongozwa na Nigerians wana roho...
Sio Watanzania tu. Watu wengi tunaotokea nchi maskini ndivyo tulivyo. Tena ukitoka nje ya nchi ndio utajua afadhali kidogo na sisi Watanzania.
Nchi nyingine kama Waarabu na Wanaijeria ndio majanga kabisa. Kama Nigerians hao wana roho ngumu hatari. Yaani unakuta mtu yupo tayari kukufanya...
Achana kabisa na mambo ya mikopo. Jikusanye mdogomdogo tu kisha utapanua mtaji wako. Kuwa mvumilivu. Mambo mazuri huchukua muda kidogo..
Najua unaweza kuwa na shauku ya kutaka sana kukopa na ukaachana na huu ushauri tunaokupa wa kutokopa, ila iwapo Roho wa Mungu atakutembelea ukakubaliana na...
Amina Mkuu. Huwa ni shauku yangu kuwaona Wazee wanakuwa na furaha kwa siku zao za hapa duniani zilizosalia.
Suala la uchumi wa Familia ni kichocheo kimojawapo ktk kusababisha hiyo furaha! Ni ngumu kufikia at the maximum level, lakini naamini kilicho ndani ya uwezo kina stahili kufanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.