Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa...
Wadau naomba msaada kwa wajuvi wa mambo ukiyatoa majiji yetu pendwa 6. Moro, Moshi na Iringa ndo miji inayofuatia kwa ukubwa lakini Moro is more bigger. Sasa swali langu kwanini Moshi iwe jiji badala ya kuanza na Morogoro?
Nawasilisha
Habari za jioni wapenzi wote wa burudani na wana jf kwa ujumla..
Nitaenda moja kwa moja kwenye mada kama heading inavo state
Toka mwaka uanze wasanii mbalimbali hapa nchini wametoa nyimbo mbalimbali hii yote ni kwajili ya:
-kuburudisha na
- kutuelimisha kama jamii
BASI
zifuatazo ni nyimbo...
Huwezi amini kelele zote za watu wanaotaka Membe awe Mgombea Urais kupitia CCM 90% ya wapaza sauti ni watu kutoka CHADEMA.
Swali:
Kwanini CHADEMA wanataka Membe na si Magufuli?
Je, CCM ikimpitisha Membe kwahiyo CHADEMA hawatasimamisha mgombea ili kumuunga mkono Membe?
Na kama Membe akipitishwa...
.
Monday .February 18,2019
Walimu wa Shule ya Sekondari Magu mkoani Mwanza, wameweka Historia mpya katika shule hiyo na wilaya ya Magu, kwa kuchangia takribani Milioni 14 kwa ya ajili ya ujenzi wa chumba cha Darasa shuleni hapo, ikiwa ni jitihada za Walimu kukabiliana na upungufu wa vyumba vya...
Refer the heading above... Wana jf nataka mtu anieleweshe kuhusu hivyo vitu hapo juu maana kuna mdau mmoja alinambia hivyo ni mali ya illuminate members, ie, secret society
Habari ya jumapili wana jf,,, nianze kwanza kutoa pole kwa mashabiki wa simba na watu wote wenye kulitakia mema taifa letu hasa kwa janga lililomkuta ndugu yetu Mo Dewji.
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu, ni dhahiri kuwa chadema tunaiaga kwa mtindo huu, japo kuna malalamiko kutoka sehemu...
Mi ni mkazi wa mji mdogo wa Magu mkoa wa Mwanza,, leo katika uwanja wa Sabasaba nmemsikia mchungaji wa kanisa la adventisti sabato,,, Marko 7,kuanzia mstari wa kumi na tano.. Usemao 'Marko:0.5
Basi wale Mafarisayo na waandishi wakamwuliza, Mbona wanafunzi wako hawaendi kwa kuyafuata mapokeo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.