Search results

  1. N

    Sina imani na Kamati Huru iliyoundwa na Ummy Mwalimu kufuatilia sakata la Madaktari Watarajali

    Tatizo serikali yetu haipo makini. Uhuni uhuni tu. Huku ni kumpa Gambi tonge mdomoni.
  2. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Rejaa barua za Madaktari pls kwa kuwa hawapingi mtihani ila wanapinga hujuma zinazofanywa kwao. Ni kuekeze tu Madaktari bingwa ndio wenye kuweza kumthibitisha mtu kuwa daktari na si mtihani wa MCT. Tuwaache madaktari bingwa watusaidie kupata Daktari bora na kumhakiki Daktari na si maswali 200 ya...
  3. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Nina nani kakuambia wamefeli? Wewe unajua Daktari katika mtihani huo wa hujuma anatakiwa afaulu kwa marks ngapi? Na je unaweza kuekeza ni kwanini matokeo ya usiri mkubwa? Na je unaweza kusema ni kwanini Daktari akakata rufaa hawezi kuoneshwa mtihani wake? Kuna hujuma na sio watu kufeli mtihani.
  4. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Endelea kusoma, lakini pia MCT wana usiri mkubwa na hawana Marks za kueleweke. Emu soma na pita hizi attachment chini. Kinachotafuta na madaktari ni walau wapate leseni maana kama uweza wa kutibu wanao mkubwa Sasa hizo zingine zinaitwa ombaomba
  5. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Ni vyema ukaweka mizaha pembeni, kada hii ni muhimu sana kama sio Leo kesho utakutana na daktari, tafuta kuelewa changamoto walizo nazo na uwasaidei kusema Ili waweze kukuza ufanisi wao kesho ukikutana nao waweze kukuhudumia vyema
  6. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Sasa hili haliwezi kudhibitiwa na mtihani wa theory wa MCT ndio sababu tunataka matatizo haya yatafutiwe njia sahihi ya kuyatatua na sio mtihani wa MCT
  7. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Unaongea Yale Yale na unatakiwa kujua hizo 8hrs ni kwa hospital ipi? Hospital zote za Rufaa kasoro MOI wanawategemea internship kila kitu na kila wakati. Mtingo wa internship ni zaidi ya sounds watu wanatinga masaa 20 harafu wewe unasema 8. Harafu hakuna Daktari anaeweza kuwa bora kwa hospital...
  8. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Reja hoja za Madaktari na Rejea barua zote ninazokuwekea hapa, Mtihani wa MCT hauna ufumbuzi wa hayo unayoyasema. Mtihani wao ni hujuma. Ni hujuma kwa sababu madaktari wametibu watu na kuisaidia kurejesha afya za watu . Hawa madaktari tunaowaongelea hawata hizo changamoto ulizoziainisha na...
  9. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Huelewi, tafuta kuelewa na usilinganishe mafuta na maji eti kwa sababu vyote ni vimiminika. Ogopa sana kama hujuma itatawala kwa madaktari. Sikikiza na uelewe hoja za Madaktari kisha Pinga hujuma za MCT
  10. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Kinachoendeka leo nchini ni udhalilishaji mkubwa wa madaktari, tatizo watanzania wengi hawajui kada hii ya udaktari ndio sababu tunamuomba rais aingilie kati na atume nafasi tueleze mambo mengi ya ajabu ambayo ni aibu kuyaainisha hapa. MCT wanadhakikisha madaktari na waadhalilisha Madaktari...
  11. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Rejea comments zote utajifunza kitu. Kwanza ni vyema ujue huo mtihani hauna uwazi ukifaulu na ukifanyiwa hujuma huta jua. Dr Mzava anasema ukifeli umefeli na ukifaulu vizuri umefeli, Sasa Je huoni wanaofeli ni wale walio na uwezo mkubwa ila wamefeli kwa sababu ya uwezo wao mkubwa? Wewe unaachaje...
  12. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Hatuungi wala hatusemi mtihani ufutwe, mtihani ujue nyakati na mtihani ufanyike baada ya mtu kumaliza chuo na si vinginevyo. Muda sahihi kwa mtihani wa MCT ni baada tu ya mitihani ya chuo na kabla mtu ajaapa kuwa dakatari
  13. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Wamefaulu kwa sababu waliokuwa na nafasi ya kujisomea, Ili uweze kufaulu mtihani wao basi ni lazima upuuze practice. Kama ukiamua kuacha kuasaidia wagonjwa wakati wa internship, ukiamua kukwepa kufanya clinical rotations wakati wa internship na kutokuzingatia kukutana na wagonjwa na kuwawekea...
  14. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    SI Madaktari kuwa na viwango hafifu katika utoaji tiba, jamani Daktari hawezi kumtibu mgonjwa pasipo kujua amsaidie vipi, kama Kuna changamoto kwa Daktari juu ya kutibu Daktari huyo huwaarifi madaktari wengine Ili kupata ilimu kupitia kwa na hivyo madaktari bingwa ndio wanao shirikishwa, ni...
  15. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Hakuna anaetaka mtihani ufutwe, mtihani uendelee kuwepo lakini uwepo kwa wakati sahihi, mwanafunzi kabla hajawa Daktari apatiwe mtihani huo baada tu ya kamaliza chuo. Apewe mtihani na akifauku ndio aapishwe kuwa daktari hii itafanya wanafunzi wahakikishe wanajiandaa vizuri kuwa madaktari. Na...
  16. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizo nchi unazoziongelea na sisi hapa tz, hapa kuna hila katika mtihani. Kuna mambo hata sio ya kundika hapa, intern mtu anafanya kazi masaa 20 kwa siku, sijui kama unalijua hili. Harafu akiwa anakomaa kuokoa maisha ya ndugu zako na ya watanzania kwa mwaka mzima...
  17. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Madaktari hawalalamiki eti waifanye mtihani, hakuna Daktari anaeuogopa huoa mtihani, Daktari ameishi chuoni miaka miatano akifanya mitihani hawezi kuogopa mtihani na daktari hapingi uwepo wa mtihani. Elewa hivi tafadhari, elewa Ili ulisaidie taifa. 1. Mtihani wa MCT hauzingatii nyakati au muda...
  18. N

    Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

    Hujui unachosema, tafuta Daktari hata mmoja muathirika wa hujuma hizi akueleze. Utakutana na watu wengi wa michongo lakini sio Daktari, Daktari ni mtu anaewajibikia afya za watu na mwenye kuwajibika ili watu waishi. Hakuna Daktari anaeweza kumtibu bila kujua afanye nini Ili mgonjwa apate kupona...
Back
Top Bottom