mpaka ameshatolewa miss world ndo anapewa.mimi naona angenyimwa tu maana ameshashindwa!!!!. ataishiwa kuwa kama wema na jokarte tu. Vijana wa mjini wakae mkao wa kula
Tatizo kubwa hapa ni mwanaume anayetaka kuoa. Sheria inasema uoe kwanza ndio uonje. kama angetangaza ndoa rasmi lazima wasamalia wema wangemtonya. hizi sheria zina maana yake na ukijifanya kukwapua lazima upatikane. POLE CHUKUA ZIGO LAKO NA URUDISHE MAHALI
Utafiti unaonyesha kuwa maeneo yote masikini , yenye watu wasiosoma, na mabyao yamesahaulika kimaendeleo ndio hukumbatia ccm.wacha waendelee kuonja joto ya jiwe maana wanajitakia. AFADHALI WASUKUMA WAMEANZA KUAMKA PENGINE WATATUOKOA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.