Maeneo yenyewe yaliyotajwa jamani, keko machungwa, tandika, buguruni, mtongani, etc. Maisha yenyewe huko mgumu, so anawarubuni tu wewe ukirudi mihangaikoni unakuta wali kuku wakati uliacha hela ya matembele, sasa mbona huulizi kuku umepata wapi? Maisha bora kwa kila Mtanzania??
Hapo kwenye red mkubwa, kama anao wengi atatambulisha wangapi? Ukiona rafiki, mpenzi, mchumba, mume hakutambulishi kwa watu tena akiwa na furaha jua huna binadamu hapo!!!! It is straight forward na kama ni rafiki, mpenzi au mchumba basi fikiria kwa undani mahusiano yenu, it means hakuthamini...
Hivi jamani hawa polisi wa Tanzania wapo kwa maslahi ya nani? Eti wanasema polisi na jeshi haviruhusiwi kujihusisha na masuala ya siasa, ete wako neutral ni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.