Kuna matukio na maadhimisho ya kikistu hasa katika kanisa katoliki Rais Samia amealikwa na amehudhuria.
Sasa waislamu wameona mara nyingi analikwa na wakristu na hata pasaka wameona wakristu wanaweza kumwalika,hivyo wakatumia mwanya huo kumzuia asishiriki na wakristu.
Kwa maana nyingine ni wivu tuu
nguo zake walizipataje? je kama moto ulijuwa mkubwa ingekuwa rahisi mtu mkusogea karibu na kuweza kuchungulia kwenye gari ili kujua watu waliopo ndani?
ninafuatilia huu uzi kwa makini sana.sijaona mahali Mshana Jr amepotosha,bali anajaribu kutufanya tu reason .tusijifunze vitu kwa kukariri au kukaririshwa.
isitoshe biblia ni mkusanyiko wa vitabu vilivyokuwa vimeandikwa asili ya lugha kiebrania, Aramaic ,kigiriki nk.
ktk kutafsi huenda...
tutambue kuwa siyo kila kitu wazungu wamefanya exposed.vingi wameficha na hata kama wewe umesoma sana ni professor huwezi kuelewa.
mambo mengi ni siri sana wengi tunajua in basic only.siri nyingi ( codes) zimefichwa
nimeipenda hii,ukipata muda tembelea pia sehemu inaitwa ndivamhundu ipo huko upareni ,ni eneo ambalo lina history ya pekee sana na huwa kuna miujiza mingi sana kwenye hilo eneo.
hili siyo kwa kanisa Katoliki peke yake,hata misikitini ,mashuleni ,na kwenye familia zetu hizi tabia zinakuwa kwa kasi ya ajabu.
ni lazima Kama Watanzania bila kujali dini zetu na tofauti zetu kila mmoja aombe kwa Imani yake na kukemea hili jambo ambalo linakwenda kuliangamiza taifa letu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.